JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: Habari Mpya

Dk Biteko : Tumsaidie Rais Samia kujenga nchi

#Dkt. Biteko Asisitiza amani na upendo Ujumbe wa Marafiki waliosoma na Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko (Mb) ukiongozwa na Mbunge wa Jimbo la Hai, Mhe. Saashisha Mafuwe umetoa pongezi kwa Dkt. Biteko kwa kuteuliwa…

Tume ya Madini yaja na mikakati mipya ya ukusanyaji wa maduhuli

Yapitisha maombi mapya 7596 ya leseni za madini kuanzia Julai hadi Septemba, 2023 Mhandisi Samamba awataka watanzania wengi kuwekeza kwenye Sekta ya Madini Na Mwandishi Wetu, JakhuriMedia Ili kuhakikisha kuwa Sekta ya Madini inakuwa na mchango mkubwa kwenye ukuaji wa…

TANESCO kujenga kituo kidogo cha umeme Ushetu

#Kutumia shilingi Bilioni 12 Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dodoma Shirika la umeme Tanzania (TANESCO) lina mpango wa kujenga kituo kidogo cha umeme (Switching Station) kwenye Wilaya ya Ushetu eneo la Nyamirangano ili kuboresha hali ya upatikanaji wa umeme wilayani humo….

JK na Rais Hichilema waendelea na usuluhishi wa mgogoro wa Lesotho

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia Rais Mstaafu Jakaya Kikwete ameungana na Rais Haikande Hichilema wa Zambia kukutana na Viongozi mbalimbali wa Ufalme wa Lesotho kama sehemu ya mchakato wa kutafuta suluhu ya mgogoro wa kisiasa na kiusalama uliopo katika Ufalme wa…

Wauguzi watuhumiwa kuomba rushwa wajawazito

Na Allan Vicent, JamhuriMedia,Tabora Baadhi ya Watumishi wa Idara ya Afya Mkoani Tabora wametuhumiwa kuomba rushwa kwa akinamama wajawazito na kuwatolea lugha zisizo na staha wanapokwenda kujifungua katika vituo vya afya na zahanati. Hayo yameelezwa na Kamanda wa Taasisi ya…

Vicheko wakazi wa manispaa kigoma-ujiji, Rais Samia kumaliza kero ya maji

Na Allan Vicent, Kigoma Zaidi ya sh bil 9.5 sawa na Euro mil 3.2 zilizotolewa na Rais Dkt Samia Suluhu Hassan kwa Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Kigoma (KUWASA) zimewezesha kukamilika kwa mradi mkubwa wa maji wenye uwezo…