JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: Habari Mpya

Mavunde:Tanzania mbioni kuchimba madini hadimu (REE)

Na Samwel Mtuwa – Dodoma. Serikali kupitia Wizara ya Madini itaanza rasmi uchimbaji wa Madini Adimu yaani Rare Earth Element (REE) kupitia kampuni ya uchimbaji madini ya Mamba ijulikanayo kama Mamba Minerals Corporation Limited (MMCL) yenye ubia kati ya Serikali…

Kero ya kutembea umbali mrefu kuifuata elimu yatatuliwa Mkuranga

Na Mwamvua Mwinyi, JAMHURI MEDIA, Pwani. Serikali kwa kushirikiana na Halmashauri imetatua kero ya kutembea masafa, umbali wa km 4 kufuata elimu ya Sekondari kutoka Kijiji cha Kilimahewa kwenda Kiimbwanindi , wilayani Mkuranga Mkoani Pwani ,ambapo sasa imebaki historia. Kutokana…

Rais Samia avunja Bodi ya TCRA, ateua bosi mpya NIC

Na Mwandishi Wetu, JAMHURI MEDIA, Dar es Salaam. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan amevunja Bodi ya Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA). Taarifa iliyotolewa na Mkurugenzi wa Mawasiliano ya Rais Ikulu Zuhura Yunus leo Novemba 09,…

EWURA zingatieni maslahi ya nchi katika shughuli za udhibiti wa mafuta – Dk Biteko

*Awapongeza kwa kushusha gharama za uagizaji mafuta * Asisitiza EWURA kudhibiti vitendo vya urasimu na rushwa mahali pa kazi Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dkt. Doto Biteko amewataka Watendaji na Watumishi wa Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za…

Sakata la Maria aliyehukumiwa miaka 22 kwa kukutwa na nyama ya swala lawaibua LHRC

Na Mwandishi Wetu, JAMHURI MEDIA, Dar es Salaam. Kituo cha Sheria na Haki za Binadamu (LHRC) kimesema kimepokea kwa masikitiko makubwa hukumu ya miaka 22 jela iliyotolewa kwa Mama Maria Ngoda wa Iringa, kufuatia kosa la kukutwa na nyama ya…

Wawekezaji watakiwa kujenga viwanda vya kuongeza thamani madini mkakati

Na.Samwel Mtuwa- Dodoma. Tanzania imefungua milango ya uwekezaji katika Sekta ya Madini kwa nchi ya Korea ya Kusini ikiwemo kuendeleza ushirikiano wa kikazi katika kufanikisha utekelezaji wa mikakati ya Vision 2030:MadinI Maisha na Utajiri. Hayo yamesemwa leo Novemba 8, 2023…