JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: Habari Mpya

Jando, unyago vyachangia ukatili wa kijinsia

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Mtwara MKOA wa Mtwara umetajwa kuwa miongoni mwa mikoa inayochangia kwa kiasi kubwa ukatili wa kijinsia dhidi ya watoto wa kike hali inayohusishwa wa utekelezaji wa mila za jando na unyago. Akizungumza leo mkoani Mtwara katika…

Wizara ya Ardhi yaanza maboresho katika vyuo vyake

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Morogoro Wizara ya Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi imeanza maboresho katika maeneo ya vyuo vyake vya Ardhi vya Morogoro (ARIMO) na Tabora (ARITA) Hayo yamebainishwa tarehe Novemba 24, 2023 na Naibu Waziri wa Ardhi Nyumba…

Dk Biteko : Rais, Dk Samia anataka mahusiano mazuri kati ya TRA na wafanyabiashara

📌Aipongeza TRA kufikia asilimia 97.4 ya ukusanyaji mapato mwaka 2022/2023 📌Ataka Wafanyabiashara kuendelea kulipa kodi kwa maslahi ya nchi Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko amewataka Wafanyakazi wa Wizara ya Fedha na Mamlaka ya Mapato…

Dk Biteko akutana na menejimenti NMB

#Awaasa kusaidia miradi ya uwekezaji nchini hususan sekta ya umeme # NMB yaipongeza Serikali kwa kuwa na Uchumi imara Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati,Dkt. Doto Biteko leo tarehe 24 Novemba, 2023 amekutana na kufanya mazungumzo na Menejimenti ya…

Wanafunzi shule za St Mary’s wafaulu kwa alama A

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Shule za St Mary’s nchini zimeendelea kufanya vizuri kwenye mitihani ya darasa la saba kwa wanafunzi wake kupata wastani wa alama A kwenye matokeo yao. Katika matokeo yaliyotangazwa jana na Baraza la Taifa…