JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: Habari Mpya

Ndalichako aitaka mifuko ya jamii kutatua kero ya ucheleweshaji mafao kwa wastaafu

Na Cresensia Kapinga, JamhuriMedia, Songea. Waziri wa nchi ofisi ya Waziri Mkuu Kazi,Ajira, Vijana na wenye Ulemavu,Profesa Joyce Ndalichako, ameyaagiza mashirika ya Hifadhi za Jamii hapa nchini kuchukuwa hatua za haraka ili kutatua kero zinazowakabili wastaafu ikiwemo kucheleweshewa mafao yao…

Wavamizi maeneo ya malisho Kiteto wapewa siku saba kupisha maeneo hayo

Na Dotto Kwilasa,JamhuriMedia,Kiteto SERIKALI imetoa siku saba kwa wavamizi wanaofanya shuguli za kilimo kwenye maeneo ya kongani za malisho ya mifugo zilizotegwa kupitia mpango wa matumizi bora ya ardhi za vijiji wilayani Kiteto mkoani Manyara wawe wameshaondoka bila kujali kama…

Rais Samia aboresha huduma za afya Kasulu Vijijini

Na Allan Vicent, JamhuriMedia, Kigoma SERIKALI ya Awamu ya Sita inayoongozwa na Rais Dk Samia Suluhu Hassan imepongezwa kwa kuboresha huduma za afya kwa wakazi wa vijijini Wilayani Kasulu Mkoani Kigoma. Wakiongea na JAMHURI DIGITAL kwa nyakati tofauti baadhi ya…

Biteko aiagiza TANESCO kukata umeme kwa wadaiwa sugu

📌Akemea vikali wahujumu wa miundombinu ya umeme, Asema Serikali iko kazini, Itawashughulikia 📌Ataka TANESCO kusikiliza na kujibu Wateja kwa haraka 📌Asisitiza utunzaji wa Mazingira Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Arusha Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dkt. Doto Biteko ameliagiza…

Serikali kujenga daraja la kisasa Maretadu-Garkawe

Wananchi wa kata za Maretadu na Maghang Halmashauri ya Wilaya ya Mbulu Mkoani Manyara, wameishukuru Serikali kwa kuanza ujenzi wa Daraja la Maretadu-Garkawe wakisema kukamilika kwa daraja hilo kutarahisisha mawasiliano na usafirishaji. Wakizungumza kwenye ziara ya mkuu wa Mkoa wa…

Mbarawa atoa maagizo kwa mkandarasi Bukoba

KAGERA: Waziri wa uchukuzi Profesa ,Makame Mbarawa amemtaka mkandarasi anayetekekeza mradi wa upanuzi wa bandari za Kemondo na Bukoba zilizopo wilayani Bukoba mkoani Kagera kuongeza Kasi ya ujenzi wa mradi huo ili kufikia mwezi Mei mwakani. Profesa Mbarawa aliongozana na…