JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: Habari Mpya

Serikali yagawa vishikwambi kwa madiwani Biharamulo

Na Daniel Limbe, JamhuriMedia, Biharamulo KATIKA kuhakikisha taasisi za Umma nchini zinakwenda sambamba na mabadiliko ya teknolojia duniani kwa lengo la kurahisisha na kuboresha kazi,halmashauri ya wilaya ya Biharamulo mkoani Kagera imenunua vishikwambi 38 kwaajili ya kuepuka gharama za kutumia…

Breaking News: Rais Samia apokea barua ya Chongolo kujiuzulu

Mwenyekiti wa CCM na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan ameijulisha Halmashauri Kuu ya CCM ya Taifa kupokea barua ya kujiuzulu kwa Katibu Mkuu wa CCM Daniel Chongolo, na ameridhia ombi hilo. Katibu wa NEC,…

MSD kukabidhiwa eneo la ujenzi wa ghala Arusha kabla ya Januari 2024

Na Mwandoshi Wetu, JakhuriMedia Mkuu wa Mkoa wa Arusha John Mongella, ameuhakikishia uongozi wa Bohari ya Dawa (MSD) kuwakabidhi eneo la ujenzi wa ghala la kuhifadhia Bidhaa za Dawa kwa mkoa huo kabla ya mwezi Januari 2024 ili kurahisisha usambazaji…

Muhimbili yafanya upasuaji waliokatika misuli na mishipa ya fahamu

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia Hospitali ya Taifa Muhimbili imewafanyia upasuaji rekebishi wagonjwa 23 waliopata ajali na kukatika baadhi ya misuli pamoja na mishipa ya fahamu katika sehemu mbalimbali za mwili ikiwemo mikono na miguu. Kambi hiyo ilianza tarahe 20 hadi…

Hospitali tatu za Rufaa Dar zakabidhiwa ‘ambulance’

Na Mandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Albert Chalamila leo Novemba 28, amekabidhi magari matatu ya kisasa ya wagonjwa katika Hospitali za Rufaa za Mkoa huo ikiwemo Hospitali ya Rufaa ya Mkoa ya Mwananyamala-Wilaya ya…

Matibabu ya moyo kuimarishwa

Na Mwandishi Maalumu – Dar es Salaam Wataalamu wa afya wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) kushirikiana na wenzao kutoka Hospitali ya Jimbo la Shandong la nchini China kuimarisha huduma katika tiba ya upasuaji wa moyo upande wa kupandikiza…