JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: Habari Mpya

Serikali yatia vifaa vya kuwasaidia waathirika wa mafuriko Hanang’

Awamu ya ya kwanza vya vifaa tiba na dawa vilovyotolewa na serikali kupitia Bohari ya Dawa (MSD) kwa ajili ya kuwasaidia waathirika wa mafuriko Hanang imewasili katika Hospitali ya Wilaya ya Hanang (Tumaini). Meneja wa Kanda ya MSD Kilimanjaro Rehema…

Tunafuatilia uadilifu katika utoaji huduma za Ardhi – Pinda

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Morogoro Serikali inaendelea kusimamia ufuatiliaji wa tathmini katika utekelezaji wa majukumu ya Sekta ya Ardhi na uadilifu katika utoaji wa huduma za ardhi nchini. Hayo yamebainishwa na Naibu Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi…

Wafariki ikwa mafuriko mkoani Manyara wafikia 49, Naibu Waziri wa Afya atoa pole kwa majeruhi

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Manyara NAIBUĀ  Waziri wa Afya Dkt. Godwin Mollel akiwa ameongozana na Katibu Mkuu Wizara ya Afya Dkt. John Jingu, Mganga Mkuu wa Serikali Prof. Tumaini Nagu pamoja na wataalam kutoka Wizara ya Afya mapema leo Desemba…

Waziri Mhagama, Bashungwa wafikia kijijini Gendabi- Hanang kwenye maafa

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge na Uratibu) Mhe. Jenista J. Mhagama, Waziri wa Ujenzi Innocent Bashungwa, pamoja na Wakuu wa Vyombo vya ulinzi na Usalama wamefika katika kijiji cha Gendabi kata ya…

Mlima wa Moto wazindua kongamano la SHILO kumuenzi Rwakatare

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam KANISA la Mlima wa Moto Mikocheni jijini Dar es Salaam, limezindua kongamano liitwalo SHILO kama sehemu ya kumuenzi mwanzilishi wa Kanisa hilo, Hayati Askofu Dk. Getrude Rwakatare. Uzinduzi wa kongamano hilo la siku…