JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: Habari Mpya

Urejeshaji hali Hanang waendelea

Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu Sera, Bunge na Uratibu Jenista Mhagama akiongoza zoezi ufunguaji wa barabara na uondoaji wa tope katika Mji wa katesh Halmashauri ya Hanang’ Wananchi wamepokea kwa muitikio chanya zoezi la kuhifadhi waathirika wa maporomoko…

Waziri Mbarawa aridhishwa na majaribio ya kichwa cha treni ya umeme

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar Waziri wa Uchukuzi Professor Makame Mbarawa afanya ziara fupi ya kuona majaribio ya kichwa cha treni ya umeme cha reli ya kiwango cha kimataifa – SGR kilichopo kwenye stesheni ya Pugu jijini Dar es Salaam…

Bashe :Maafisa ugani wapatikane kwenye vituo

Waziri wa Kilimo Mheshimiwa Hussein Bashe (Mb) amewataka wakurugenzi wa Halmashauri zote nchi kuhakikisha maafisa Ugani wanapatikana katika vituo vyao vya Kazi kama ilivyo kwa walimu. Bashe ameyasema hayo leo hii akiwa mkoani Tanga ambapo ameanza ziara yake ya kikazi…

Kinana azuru kaburi la Hayati Rais Magufuli

Makamu Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Tanzania Bara, Komredi Abdulrahman Kinana, akiwa ameambatana na Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dkt. Doto Biteko wamezuru na kufanya sala katika kaburi la Rais wa Awamu ya Tano, Hayati Dkt. John…

Mabula amshukuru Rais Samia kwa kutoa fedha za miradi ya maendeleo Ilemela

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Ilemela Wenyeviti wa Serikali za Mitaa wametakiwa kutekeleza wajibu wao kwa kufanya mikutano ya hadhara, kusoma mapato na matumizi pamoja na kutatua kero za wananchi. Rai hiyo imetolewa na mbunge wa Jimbo la Ilemela Dkt Angeline…

Maneno ya Naibu Waziri Pinda yataka kumliza diwani wa Kisaki Singida

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Singida Maneno ya Naibu Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi l Geophrey Pinda wakati wa kutafuta suluhu ya mgogoro wa ardhi kati ya wananchi wa Kisaki na Mwekezaji wa Sekta ya Nyuki katika eneo…