Category: Habari Mpya
Kamati ya Ustawi wa Jamii ya Baraza la Wawakilishi Zanzibar watembelea MSD
Kamati ya Ustawi wa Jamii ya Baraza la Wawakilishi Zanzibar, Uongozi wa Wizara ya Afya Zanzibar pamoja na Uongozi wa Bohari Kuu ya Dawa Zanzibar leo wametembelea Bohari ya Dawa (MSD) kubadilisha uzoefu katika masuala ya mnyororo wa ugavi wa…
Chalamila bandari kavu kusaidia kupunguza msongamano wa mizigo
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar Mkuu wa mkoa wa Dar es Salaam Albert Chalamila leo Desemba 13, 2023 amekutana na uongozi wa Bandari na viongozi wa Bandari kavu (ICD) kujadili michakato ya kuondosha mizigo Bandarini. RC Chalamila amesema kwa sasa…
Serikali kuwaondole vikwazo wafanyakazi TANESCO
Na Dotto Kwilasa,JamhuriMedia,Dodoma SERIKALI kupitia Ofisi ya Waziri Mkuu Kazi, Vijana na Ajira imesema itashirikiana na Shirika la Umeme nchini (TANESCO) kuhakikisha inawajengea mazingira wezeshi wafanyakazi wa Shirika hilo kwa kuwaondolea vikwazo vinavyoweza kuwasababishia matatizo ya Afya ya akili hali…
Endelezeni mila zinazotuunganisha kusaidia kusukuma maendeleo- Sendeka
Na Mary Margwe, JamhuriMedia,Simanjiro Wananchi wa jamii ya Kimasai wametakiwa kuendeleza mila zinazowaunganisha kuwa wamoja na zile ambazo zinasaidia kusukuma Maendeleo chanya na kuwaletea Uchumi imara kwa Taifa. Hayo yamebainishwa Jana na Mbunge wa Jimbo la Simanjiro Christopher Ole Sendeka…