JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: Habari Mpya

FCS yatoa tathmini ya mwaka mmoja utekelezaji mradi wa ‘Uraia Wetu’

Msimamizi wa Mradi wa ‘Uraia Wetu’ Nicholas Lekule akitoa tathimini juu ya mradi huo, katika semina ya Wahariri na Waandishi wa Habari iliyofanyika leo Disemba 18,2023 Jijini Dar es Salaam. Msimamizi wa Mradi wa ‘Uraia Wetu’ Nicholas Lekule akizungumza kwenye…

Wabunifu wa huduma za afya za kidigitali wahimizwa kuboresha huduma bora za afya kupitia TEHAMA

Na WAF – Dar es Salaam Katibu Mkuu wa Wizara ya Afya, Dkt. John Jingu amewahimiza wabunifu wa Huduma za Afya za Kidigitali kushirikiana na Serikali ili kuweza kuboresha huduma bora za kiafya kwa wananchi kupitia TEHAMA. Dkt. Jingu ameyasema…

Waziri Jafo : Tanzania kunufaika na fedha za Miradi ya Kukabiliana na Mabadiliko ya Tabianchi

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira) Mhe. Dkt. Selemani Jafo amesema Tanzania inatanufaika na fedha za miradi ya kukabiliana na mabadiliko ya tabianchi. Ametoa kauli hiyo leo Desemba 18, 2023…

Nchi tatu zaanza kupata umeme kutoka Rusumo , Machi 2024 kuzinduliwa

Tanzania, Rwanda na Burundi zaanza kupata umeme kutoka Rusumo Mradi kuzinduliwa mwezi Machi 2024, Dkt. Biteko ataka ukamilike mapema Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dkt. Doto Biteko amesema kuwa, mradi wa maporomoko ya umeme wa Rusumo wa megawati…