JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: Habari Mpya

Mpango : Uhusiano wa Tanzania na Saudi Arabia waimarika

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Philip Mpango amekutana na kufanya mazungumzo na Balozi wa Saudi Arabia hapa nchini Yahya Ahmed Okeish, mazungumzo yaliyofanyika Ikulu Chamwino mkoani Dodoma tarehe 19 Desemba 2023. Katika mazungumzo hayo, Makamu…

Ajali yaua kichanga cha miezi sita, mwanamke mmoja baada ya basi kutumbukia mtoni Kisarawe

Na Mwamvua Mwinyi, JamhuriMedia, Kisarawe Mwanamke mmoja (35-40)pamoja na mtoto wa miezi sita wamefariki dunia iliyotokea Daru Mzumbwi Kisarawe ,baada ya basi lenye namba za usajili T 275 DRZ aina ya tata kutumbukia kwenye mto na kusababisha vifo hivyo. Aidha…

Chalamila ataka TRA kufanya operesheni maalum ya elimu kwa mlipa kodi

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Albert Chalamila ametoa maagizo hayo leo Desemba 18, 2023 wakati wa mkutano maalum wa kimkakati na watumishi wa TRA katika Ukumbi wa Suma JKT, Mwenge-DSM. RCĀ  Chalamila amesema…

Watu 111 wapoteza maisha, 230 wajeruhiwa kufuatia tetemeko la ardhi China

Watu 111 wamekufa na wengine zaidi ya 230 wamejeruhiwa kufuatia tetemeko la ardhi lililopiga eneo la kaskazini magharibi mwa China la Gansu-Ginghai usiku wa kuamkia leo. Kituo cha Ulaya cha kufuatilia mitikisiko ya ardhi duniani EMSC kimesema, tetemeko hilo la…

TPA yafungua rasmi ofisi nchini Malawi

Mamlaka ya Usimamizi wa Bandari Tanzania ( TPA) imezindua Rasmi Ofisi yake katika nchi ya Malawi ikiwa ni hatua ya Mamlaka hiyo kusogeza huduma za Bandari karibu na wateja wake wa nchini humo. Waziri wa Uchukuzi wa Tanzania Mhe. Profesa…