JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: Habari Mpya

Waziri Jafo azitaka halmashauri nchini kutenga bajeti ya kuzalisha miche

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dodoma Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira), Dkt. Selemani Jafo amezielekeza halmashauri zote nchini kutenga bajeti kwa ajili ya kuzalisha miche ili kuongeza nguvu katika zoezi la upandaji. Amesema hayo wakati…

Puuzeni upotoshaji unaofanyika mitandaoni kuhusu misaada Hanang – Matinyi

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Njombe Msemaji Mkuu wa Serikali, Bw. Mobhare Matinyi, amewataka wananchi kupuuza upotoshaji wa taarifa unaofanywa kwenye mitandao ya kijamii na baadhi ya watu na vyombo vya habari visivyofuata maadili ya kazi kuhusu misaada inayotolewa kwa waathirika…

Tume ya Tehama wapikwa mifumo mipya ya upimaji utendaji kazi

Na Mwandishi Wetu, JamburiMedia, Dar es Salaam WATUMISHI wa Tume ya Tehama nchini, wamepatiwa mafunzo juu ya mifumo mipya ya kielektroniki ya Upimaji Utendaji Kazi kwa Taasisi za Umma (PIPMIS) na Mfumo wa Upimaji Utendaji Kazi kwa Watumishi wa Umma…

Jeshi la Polisi kuchunguza tuhuma unyanyasaji raia

Na Dotto Kwilasa,JamhuriMedia,Dodoma JESHI la Polisi Mkoa wa Dodoma limesema linachunguza tuhuma zinazoelekezwa dhidi ya vijana wake kudaiwa kukiuka taratibu za kukamata watuhumiwa wa makosa mbalimbali ikiwemo kuwapa vipigo na unyanyasaji wa kijinsia. Hatua hiyo imekuja kufuatia kuwepo kwa malalamiko…

Waziri Mazrui azungumzia hali ya malaria Zanzibar

Na Imani Mtuma, Maelezo, JamhuriMedia, Zanzibar Waziri wa Afya Zanzibar Nassor Ahmed Mazrui amewataka wananchi kuimarisha usafi katika maeneo yao ili kuondoa mazalia ya mbu wanaosababisha ugonjwa wa malaria. Akizungumza na waandishi wa habari huko ofisini kwake Mnazimmoja Mjini Unguja…

Waandishi wa habari watakiwa kumsaidia Rais Samia

Waandishi wa habari wametakiwa kumsaidia Mheshimiwa Rais wa Jamhuri ya muungano Tanzania Samia Suluhu Hasan juu ya fedha anazozitoa kwaajili ya miradi. Hayo ameyasema Mwenyekiti mstafu wa CCM Mkoa wa Mara Samweli Keboye alipokuwa akizungumza na waamdishi wa habari. Keboye…