JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: Habari Mpya

SACP Ng’anzi awataka abiria kutoa taarifa madereva wanaokiuka sheria za barabarani

Na Cresensia Kapinga, JamhuriMedia, Songea Mkuu wa Kikosi cha Usalama Barabarani Tanzania Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Polisi (SACP) Ramadhani Ng’anzi amewataka abiria  wanaosafiri ndani na nje ya Mkoa Ruvuma  kutoa taarifa  za baadhi ya madereva wanaokiuka sheria za usalama barabarini….

RC Mndeme, Ma – Dc wawili watinga Hanang

Na Mary Margwe, JamhuriMedia, Hanang Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga Christina Mndeme amekabidhi misaada ya kibinadamu ikiwemo vyakula, nguo na vifaa vya ujenzi vilivyotolewa na wananchi wa Shinyanga kwa waathirika wa mafuriko ya tope yaliyoambatana na mawe kutoka mlima Hanang’…

WAMACU yajipanga kuwakomboa wakulima zao la mahindi 2024/2025

Na Helena Magabe, JamhuriMedia, Tarime Chama Kikuu cha Wakulima Mara Cooperative Union (WAMACU), kimewakumbuka wakulilima wa zao la mahindi hii ni kufatia kuwepo na soko duni la zao hilo ambalo ni moja ya mazao ya biashara yanayozalishwa Mkoani Mara ….

Nyumba 30 Majohe zabomolewa usiku, wakazi walala nje, Chalamila atoa agizo

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Albert Chalamila ameagiza kukamatwa kwa watu waliovunja makazi ya watu zaidi 30 nyakati za usiku eneo la Majoe Wilaya ya Ilala Jijini Dar es Salaam RC…

e-GA kuunganisha Taasisi za Umma Kidijitali

Na Dotto Kwilasa,JamhuriMedia,Dodoma Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Serikali Mtandao(e-GA)Mhandisi Benedict Ndomba amesema Mamlaka hiyo inaendeleakutekekeza agizo la Serikali la kuhakikisha mifumo ya TEHAMA katika Taasisi za umma zinasomana kwa kuuganishwa na kubadilishana taarifa kidijitali. Katika kutekeleza hilo amesema,Mamlaka imefanikiwa…

Balozi Polepole kushirikiana na JKCI kuboresha matibabu ya moyo

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar Balozi wa Tanzania nchini Cuba Mhe. Humphrey Polepole amesema kuwa atashirikiana na Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) kuhakikisha Watanzania wanaendelea kupata huduma bora za matibabu ya moyo. Mhe. Balozi Polepole ameyasema hayo leo jijini…