JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: Habari Mpya

Utekelezaji mradi wa umeme wa Julius Nyerere  (JNHPP) wafikia asilimia 94.78

Mashine mbili za Megawati 47O zimeshafungwa, majaribio yameanza Ujazo wa maji watosha kuanza kuzalisha umeme Dkt. Biteko asema kipaumbele ni upatikanaji wa umeme wa uhakika nchini Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Rufiji Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt….

Rais Mwinyi aridhia uwanja wa Amaan kuitwa ‘ New Amaan Sports Complex’

Na Brown Jonas, JamhuriMedia, Zanzibar Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe. Dkt. Hussein Ali Mwinyi ameridhia ushauri wa kuubadili jina uwanja wa Amaan na  kuitwa  “New Amaan Sports Complex” wakati wa uzinduzi wa awamu ya tatu…

Waganga wafawidhi Hospitali za Rufaa wawafagilia wauguzi Muhimbili

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Waganga Wafawidhi wa Hospitali za Rufaa za Mikoa ya Temeke, Amana, Mwananyamala na Iringa wamewapongeza watoa huduma wa Hospitali ya Taifa Muhimbili hasa Wauguzi kutokana na huduma nzuri wanazotoa kwa wananchi wanaolazwa katika…

Dkt. Mollel: Wataalamu wa afya tengeni muda wa kutembelea vivutio vya utalii vilivyopo nchini

na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Siha Wataalamu wa afya nchini wametakiwa kipindi wanachokuwa likizo kutenga muda wa kufanya utalii wa ndani ili kujionea vivutio mbambalimbali vilivyopo kwa kufanya hivyo kutasaidia kupumzisha akili zao. Rai hiyo imetolewa hivi karibuni na Naibu Waziri…