Category: Habari Mpya
Polisi wapiga marufuku upigaji fataki Arusha, wanaotaka wakachukue vibali
Jeshi la Polisi Mkoa wa Arusha limesema Kama ilivyo desturi tunapoelekea kufunga mwaka, kunakuwa na shamrashamra za wananchi kufurahia kumaliza mwaka wakiwa salama na kuingia mwaka mpya, Jeshi la Polisi Mkoa wa Arusha linao wajibu kuhakikisha wananchi wanasherehekea kwa amani…
Wito kutambua miili ya marehemu waliofariki kwa ajali Zambia
Mamlaka za Jamhuri ya Zambia zilitoa taarifa kuhusu ajali ya barabarani iliyohusisha basi la abiria aina ya Volvo la Kampuni ya Mukombe Luxury lenye namba za usajili DK72 HH GP linalofanya safari kati ya Afrika Kusini na Tanzania lililogongana uso…
Wazazi tuwajibike kwenye malezi ya watoto wetu – Dk Biteko
๐Ashiriki misa Takatifu Parokia ya Bikira Maria Msaada wa Daima- Ushirombo ๐Awataka waumini kuweka alama wawapo duniani ๐Atoa wito kumuombea Rais na Serikali kuleta Maendeleo ๐Atoa salamu za mwaka mpya, na kuwataka Watanzania kudumisha Amani na Upendo Na Mwandishi Wetu,…
RC Mara awataka waandishi kuondoa hofu ya usalama wao
Na Helena Magabe, JamhuriMedia, Tarime Mkuu wa Mkoa wa Mara Said Mtanda amewataka Waandishi wa Habari kufanya kazi bila wasiwasi wakihofia Usalama wao katika utekelezaji wa majukumu yao. Katika kikao na waandishi wa habari na maafisa habari kilichofanyika mkoani Mara…
DKT. Biteko ammwagia sifa Rais Dk Samia kwa kasi ya utekekezaji wa miradi Bukombe
๐ Shule mpya 30 za msingi zajengwa ๐ Kila Kata wilayani Bukombe sasa ina Shule ya Sekondari ๐ Barabara mpya zajengwa, mtandao wafikia kilometa 1400 ๐ Bukombe sasa ina hospitali mbili, vituo vya afya sita, zahanati 18 ๐ Apokea wanachama…