JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: Habari Mpya

Mambo ya kutisha yalitokea ndani ya kanisa la TB Joshua, adaiwa kuwabaka na kuwanyanyasa wanawake

Ushahidi wa unyanyasaji ulionea na mateso kutoka kwa mwanzilishi wa mojawapo ya makanisa makubwa ya kiinjili ya Kikristo duniani umefichuliwa na BBC. Makumi ya waumini wa zamani wa Kanisa la Synagogue Church of all Nations – watano Waingereza – wanadai…

DED Munde atoa muda wa mwisho waliovamia shamba namba 34 Mitamba kuondoka

Na Mwamvua Mwinyi, JamhuriMedia, Pwani Halmashauri ya Mji Kibaha, mkoani Pwani imetoa muda wa lala salama kwa kaya zaidi ya 130 zilizovamia shamba namba 34 ambalo ni mali ya Wizara ya Mifugo na Uvuvi, Mitamba kata ya Pangani. Halmashauri hiyo,…

Kamati ya Bunge yaridhishwa na mradi wa maji Butimba jijini Mwanz

Yapongeza jitihada za Serikali kupitia Wizara ya Maji Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Mwanza Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Bajeti imeridhishwa na hatua iliyofikiwa ya utekelezaji wa mradi wa Maji uliojengwa eneo la Butimba Wilayani Nyamagana mkoani Mwanza unaozalisha kiasi…

Waziri Majaliwa ashangazwa gari la uchimbaji visima Lindi kutofanyakazi tangu linunuliwe

WAZIRI Mkuu Kassim Majaliwa amemuagiza Waziri wa Maji Jumaa Aweso kufika katika ofisi za wakala wa Maji na usafi Mazingira Vijijini Mkoa wa Lindi (RUWASA) na Mamlaka ya maji safi na usafi wa mazingira Lindi (LUWASA) kufuatilia mapungufu yaliyopo ikiwemo…

Kasekenya : Hakuna mradi wa ujenzi utakaosimama

Meneja wa Wakala wa Barabara (TANROADS) Mkoa wa Katavi, Mhandisi Martin Mwakabende, akitoa taarifa ya mradi kwa Naibu Waziri wa Ujenzi, Mhandisi Godfrey Kasekenya, alipokagua Barabara ya Kibaoni-Sitalike ( Km 74) inayojengwa kwa kiwango cha lami, kipande cha kwanza cha…

Mume atuhumiwa kumuua mkewe kwa kumkata kata vipande kisha kuvitupa mtoni Njombe

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Njombe Jeshi la Polisi mkoani Njombe, linamshikilia Juma Kyando (36), mkazi wa Dombwela, wilayani Makete mkoani Njombe kwa tuhuma za kumkata kata vipande mkewe kisha kwenda kuvitupa mtoni. Akizungumzia tukio hilo kwa niaba ya Kamanda wa…