JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: Habari Mpya

RC Kigoma akabidhi msaada wa sh.mil. 27 Katesh

Na Bryceson Mathias, JamhuriMedia, Kigoma Mkuu wa Mkoa wa Kigoma Thobias Andengenye amekabidhi misaada mbalimbali yenye Thamani ya zaidi ya Shilingi Mil. 27 kwa wakazi walioathiriwa na maafa yaliyotokana na mafuriko  yaliyosababisha maporomoko ya tope katika mlima Hanang kata ya…

Serikaki yatambua umuhimu wa wananchi kutoa maoni masuala ya kitaifa

Na Magrethy Katengu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Serikali kupitia Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki,Januari Makamba imesema inatambua umuhimu wa wananchi kushiriki katika maamuzi yanayohusu masuala ya kitaifa na kimataifa ikiwemo utoaji wa maoni kuhusu marekebisho…

Rais Samia aridhia utekelezaji mradi wa maji ziwa Victoria kufikishwa wilayani Ushetu

Na Mathias Canal, JamhuriMedia, Kahama Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt Samia Suluhu Hassan ameridhia kuanza kwa utekelezaji wa kufikisha mradi wa maji wa ziwa Victoria katika Halmashauri ya Ushetu. Waziri wa Maji Jumaa Aweso ameyasema hayo leo…

Rais Dk Mwinyi adhamiria kumaliza changamoto katika elimu

Rais wa Zanzibar, Dk Hussein Ali Mwinyi amesema Serikali inakaribia kumaliza ujenzi wa madarasa 5,000 kuondoa zamu mbili kwa wanafunzi nchi nzima na kubakisha zamu moja. Rais Mwinyi amesema leo Januari 9,2024 akifungua rasmi Skuli mpya ya Sekondari Tumekuja iliopo…

PICU inavyookoa maisha ya watoto Muhimbili na kutoa mafunzo kwa wataalam nchini

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar Uwepo wodi ya watoto wanaohitaji uangalizi maalum (PICU) katika Hospitali ya Taifa Muhimbili umesaidia kuokoa maisha ya watoto ambao walikuwa wanapoteza maisha hapo awali kutokana na ukosefu wa huduma hiyo. Daktari Bingwa wa Watoto, Dkt….

Waziri Kijaji: Ujenzi wa viwanda na kongani vya kutosha utapunguza tatizo la ajira kwa vijana nchini

Na Mwamvua Mwinyi, JamhuriMedia, Pwani WAZIRI wa Viwanda na Biashara Dkt.Ashatu Kijaji ,ameeleza ujenzi wa viwanda na kongani za kutosha nchini utasaidia kupunguza changamoto ya ajira kwa vijana wa kitanzania ambao wanamaliza masomo yao kila mwaka zaidi ya milioni moja…