JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: Habari Mpya

Watu 38 wamekufa kwa ajali za moto 2,076 katika kipindi cha mwaka jana nchini

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dodoma Jeshi la Zimamoto na Uokoaji linatoa pongezi na shukurani kwa vyombo vyote vya habari na wanahabari kwa kazi kubwa wanayoifanya ya kuhabarisha umma juu ya huduma zinazotolewa na jeshi hilo hapa nchini kwa kipindo cha…

Dk Biteko ashuhudia utiaji saini mikataba miwili ya kihistoria ya gesi asilia

📌 Ni wa mauziano ya Gesi Asilia na ujenzi wa miundombinu midogo ya LNG 📌 Kuwezesha upatikanaji wa Gesi Asilia katika maeneo yote nchini 📌 Asema Rais, Dkt. Samia anafuatilia kwa karibu miradi ya Nishati 📌 Nchi kuwa na nishati…

Mbunge Msalala ajigama ‘Rais Samia anatubeba’

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Msalala MBUNGE wa Jimbo la Msalala, Kahama mkoani Shinyanga, Alhaj Idd Kassimu Idd (CCM) ametamba kwamba, fedha za miradi ya maendeleo zilizotolewa na Rais Samia Suluhu Hassan, zimeibeba halmashauri hiyo. Akizungumza katika kikao cha wadau wa…

Msajili Hazina aanza kuita waombaji bodi za mashirika

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Ofisi ya Msajili wa Hazina imeanza kutekeleza mageuzi katika muundo na utaratibu wa kusimamia mashirika na taasisi za umma hususani katika kuajiri na kufukuza watendaji wakuu wa mashirika hayo. Pia, serikali imetekeleza utaratibu…

Wawekezaji 58 kutoka nje ya nchi waonyesha nia kuwekeza katika kongani ya viwanda KAMAKA Pwani

Na Mwamvua Mwinyi, JamhuriMedia, Kibaha Wawekezaji 58 kutoka nje ya nchi wameonyesha nia ya kuwekeza katika kongani ya kisasa ya Modern Industrial Park -KAMAKA Co. Ltd iliyopo Disunyara, Mlandizi Kibaha mkoani Pwani . Licha ya nia hiyo ya wawekezaji ,Kongani…

Tanzania yaondolewa kwenye orodha ya madeni makubwa

Tanzania imeanza vizuri mwaka 2024 baada ya kuondolewa kwenye orodha ya nchi zenye madeni makubwa Afrika. Taarifa ya Mfuko wa Fedha wa Kimataifa (IMF) jana iliyotoa orodha ya nchi 10 zenye madeni makubwa Afrika, ilisema kitendo hicho cha Tanzania kuondolewa…