JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: Habari Mpya

RC Mtaka amshukuru Rais Samia kwa kutoa mbegu ya ngano Makete, Ludewa zaidi ya tani 950.

Na Chrispin Kalinga, JamhuriMedia, Njombe Mkuu wa Mkoa wa Njombe, Anthony Mtaka ameongoza mkutano wa pareto na mdau mkuu wa PCT uliofanyika Halmashauri ya Wilaya ya Makete. Mkutano huo umehudhuriwa na viongozi mbalimbali wa wilaya ya hiyo wakiwemo Wakurugenzi wa…

Watoto watatu wa famili mbili wafariki kwa kudondokewa na ukuta Shinyanga

Na Suzy Butondo, Jamhuri Media, Shinyanga Watoto watatu wa familia mbili tofauti wamefariki dunia katika kijiji cha Zongomela kata ya Zongomela katika Manispaa ya Kahama mkoani Shinyanga baada ya kuangukiwa na kuta za nyumba waliyokuwemo kutokana na mvua zilizokuwa ziendelea…

Chalamila akabidhi wabunge 10 vifaa tiba vya mil.691/- vilivyotolewa na Serikali

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Albert Chalamila amewakabidhi wabunge wa majimbo 10 ya Mkoa wa Dar es Salaam vifaa tiba vya gharama ya shilingi Milioni 691 vilivyotolewa na serikali kwa ajili…

TANESCO: Upatikanaji umeme Mtwara, Lindi kuwa wa historia

Na Cresensia Kapinga , JamhuriMedia, Tunduru Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO), Mhandisi Gissima Nyamhanga amesema kuwa tayari wamemaliza kufunga  mitambo ya kupooza umeme  kama sehemu ya kuboresha umeme katika maeneo ya mikoa ya Mtwara na Lindi ambayo umeme…

Serikali yakutana na taasisi za kifedha kwa nia ya kuwasaidia wafanyabiashara walioathirika na mafuriko Hanang’

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Hanang Baraza la Taifa la Uwezeshaji Wananchi Kiuchumi (NEEC), kupitia Ofisi Ofisi ya Waziri Mkuu Sera, Bunge na Uratibu pamoja na Uongozi wa Mkoa wa Manyara kwa kushirikiana na Halmashauri ya Wilaya ya Hanang’ imekutana wa…

Kipindupindu chaingia Chato, mmoja abainika, Serikali yatoa elimu

Na Daniel Limbe, JamhuriMedia, Chato WAKATI Serikali ikiendelea kutoa tahadhali ya mvua kubwa zinazoendelea kunyesha pamoja na kuimalisha usafi wa mazingira nchini, mwanamke mmoja wilayani Chato mkoani Geita ameripotiwa kupatikana na ugonjwa wa kipindupindu. Mgonjwa huyo (jina limehifadhiwa) ni wa…