JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: Habari Mpya

Chuo cha Hali ya Hewa chashauriwa kuanzisha shahada

ma Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Zanzibar KATIBU Mkuu Wizara ya Uchukuzi, Prof. Godius Kahyarara ametoa rai kwa Chuo cha Hali ya Hewa Kigoma (NMTC) kuanzisha Shahada ya Sayansi ya Hali ya Hewa (Bsc. in Meteorology) ili kumrahisishia mwanafunzi anayetaka kujiunga katika…

Mbio za uchaguzi mikoa, ACT Tanga wapata viongozi wapya

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia Wakati mbio za Uchaguzi katika ngazi ya mkoa kichama kwa Chama Cha ACT Wazalendo, zikiwa zimezinduliwa jana kwa mikoa miwili ya Tanga na Morogoro kufanya uchaguzi, sura mpya zimejitokeza ndani ya nafasi mbalimbali za uongozi kwa…

Prof. Mkumbo Akabidhi nyenzo za utendajikazi Timu ya Dira 2050

Na Ofisi ya Rais, Mipango na Uwekezaji Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Mipango na Uwekezaji, Prof. Kitila Mkumbo amekabidhi nyenzo za utendajikazi kwa Timu Kuu ya Wataalamu ya Dira ya Taifa ya Maendeleo 2050 ikiwa ni nyaraka muhimu zitakazotumika…

Vilio, simanzi vyatawala wakati wa kuaga mwili wa meneja TANROADS aliyefariki wakati akikimbia

Na Cresensia Kapinga, JamhuriMedia, Songea Vilio na simanzi vimetawala  leo wakati wa kuuaga mwili wa aliyekuwa Meneja wa Wakala wa Barabara ( TANROADS ), Mkoa wa Ruvuma Mhandisi Mlima  Felix Ngaile( 55) aliyefariki jana wakati akikimbia. Marehenu alifariki ghafla jana Januari 12, 2024 baada ya kupata mshituko…

Utekelezaji wa ufugaji samaki kwa vizimba waanza ziwa Tanganyika

Na Edward Kondela, JamhuriMedia, Rukwa Serikali imeanza utekelezaji wa ufugaji samaki kwa njia ya vizimba katika Ziwa Tanganyika baada ya mpango huo kuonesha mafanikio makubwa katika Ziwa Victoria. Akizungumza Januari 11, 2024 katika Mwalo wa Kasanga uliopo Wilaya ya Kalambo…