JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: Habari Mpya

Mnyeti : Maafisa mifugo nendeni kwa wafugaji, acheni kuwa wakusanya mapato

Na Edward Kondela, JamhuriMedia, Dodoma Maafisa mifugo nchini wametakiwa kufanya kazi za udaktari wa mifugo walizosomea na kuwatembelea wafugaji badala ya kuwa wakusanya mapato wa halmashauri. Naibu Waziri wa Mifugo na Uvuvi Alexander Mnyeti amebainisha hayo mjini Dodoma wakati akizindua…

Waziri Mhagama : Endeleeni kulinda amani, mshikamano wa Taifa letu

Na Mwandishi Wetu, JakhuriMedia, Njombe Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu anayeshughulikia masuala ya Sera, Bunge na Uratibu Mhe. Jenista Mhagama ametoa rai kwa wananchi kuendelea kuzilinda tunu za umoja wa kitaifa za utulivu, amani  na ushirikiano.  Rai hiyo…

Baraza la wafanyakazi GST 2024 lakamilika

Watumishi wasisitizwa Umoja, Upendo na Ushirikiano Dkt. Budeba awaasa watumishi kuwa wawazi Mtendaji Mkuu wa Taasisi ya Jiolojia na Utafiti wa Madini Tanzania (GST) Dkt. Mussa Budeba ameongoza Kikao cha Baraza la Wafanyakazi la taasisi hiyo uliyofanyika leo Januari 14,…

Pamba kulimwa Rufiji Pwani – RC Kunenge

Na Mwamvua Mwinyi, JamhuriMedia, Pwani Mkuu wa Mkoa wa Pwani,Abubakar Kunenge amezindua mradi wa kilimo cha Pamba wilayani Rufiji utakaotekelezwa na Kampuni ya Rufiji Cotton Ltd ambapo pia amepokea matrekta na pikipiki zitazotumika kwenye mradi huo. Akizungumza na wananchi wa…

Daraja la Mwananchi Mwanza kukarabatiwa

Na Mwandishi Wetu,JamhuriMedia, Mwanza Mtendaji Mkuu wa Wakala ya Barabara za Vijijini na Mijini (TARURA), Mhandisi Victor  Seff  ameagiza Daraja la Mwananchi lililopo Kata ya Mahina  jijini Mwanza kuanza kukarabatiwa mara moja kufuatia kuharibiwa na Mvua  zinazoendelea kunyesha jijini hapa….

Makamu wa Rais awasili Uswisi kushriki mkutano wa WEF

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Philip Isdor Mpango, leo tarehe 14 Januari 2024 amewasili nchini Uswisi ambapo anatarajia kumwakilisha Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan katika Mkutano wa Jukwaa…