JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: Habari Mpya

RC Chalamila : Marufuku ombaomba barabarani, wazagaaji

MKUU wa Mkoa wa Dar es Salaam Albert Chalamila amepiga marufuku uzagaaji wa watu kwenye maeneo yote ya msingi kama vile Tanzanite bridge na Ubungo, watoto wa mitaani na ombaomba barabarani ambapo amewaagiza Wakuu wa Wilaya kuwafukuza na wengine kuwakamata…

UVCCM Dodoma yawaandaa vijana Uchaguzi Serikali za Mitaa

Na Dotto Kwilasa,JamhuriMedia,Dodoma KATIBU wa Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (UVCCM) Wilaya ya Dodoma Mjini Isack Ngongi amewataka vijana kuungana kuhakikisha chama kinashinda kwa kishindo katika uchaguzi wa serikali za mitaa na uchaguzi mkuu. Ngongi ameyasema hayo leo…

Halmashauri Kuu CCM yaridhishwa na utekelezaji wa mradi wa Bwawa la Umeme JHPP

Halmashauri Kuu ya CCM ya Taifa imefanya kikao Maalum tarehe 15 Januari, 2024, Zanzibar, chini ya Mwenyekiti wake na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan. Kwa mujibu wa taarifa iliyosainiwa na Katibu Halmashauri Kuu ya…