JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: Habari Mpya

VETA, NIT waunganisha nguvu kuandaa walimu wa ufundi nchini

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Morogoro Mamlaka ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi Stadi (VETA) kupitia Chuo cha Ualimu wa Ufundi Stadi Morogoro (MVTTC) wametia saini hati ya makubaliano na Chuo cha Taifa cha Usafirishaji (NIT), kuanzisha ushirikiano wa utoaji wa…

Serikali yaendelea kushusha gharama za uletaji mafuta kuleta ahueni kwa wananchi

📌Dkt. Biteko asema gharama ya mafuta ni nafuu kulinganisha na nchi jirani 📌Asema kampuni ya mafuta TANOIL inaboreshwa ili kuleta ufanisi 📌Asisitiza PBPA ni nguzo ya Serikali katika uhakika wa upatikanaji mafuta 📌PBPA yazidi kudhibiti upotevu wa mafuta Na Mwandishi…

Nchimbi aanza kazi kwa mambo matatu, apokelewa Zanzibar

*Atema cheche akionya makundi ya uchaguzi, asema ni mjinga tu hukoleza moto baada ya kupakua Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Ndugu Dkt. Emmanuel John Nchimbi, amekemea na kuonya tabia ya baadhi ya wanaCCM wanaovunja taratibu za Chama kwa…

Viongozi mbalimbali washiriki mkutano wa nchi za Kundi la 77 nchini Uganda

Takriban theluthi mbili ya nchi duniani zimekusanyika jijini Kampala, Uganda kushiriki Mkutano wa Wakuu wa Nchi na Serikali wa Umoja wa Nchi Zisizofungamana na Upande Wowote (NAM) wenye nchi Wanachama 120 na Mkutano wa nchi za Kundi la 77 na…

Waziri Mkuu ahudhuria mkutano wa NAM

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa akishiriki ufunguzi wa mkutano wa 19 wa Wakuu wa Nchi na Serikali Zisizofungamana na Upande Wowote (NAM), katika ukumbi wa Ruwenzori, Kampala nchini Uganda, Januari 19, 2024. Waziri Mkuu amemuwakilisha Mheshimiwa Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan…

Tanzania, Iran zasaini makubaliano ya kuondoa utozaji kodi mara mbili

Na Scola Malinga, WF, Dar es Salaam Tanzania na Jamhuri ya Kiislam ya Iran zimesani makubaliano ya majadiliano ya Kuondoa Utozaji Kodi Mara Mbili baada ya kufanyika kwa majadiliano ya kina kati ya nchi hizo mbili. Makubaliano hayo yamesaniwa Jijini…