JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: Habari Mpya

Bashungwa : Rais Samia anapiga lami barabara ya Kibena – Lupembe mkoani Njombe

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Njombe Waziri wa Ujenzi, Innocent Bashungwa, amesema kuwa Serikali inakwenda kuanza ujenzi barabara ya Kibena – Lupembe (km 42) kwa kiwango cha lami ili kuufungua mkoa huo kiuchumi hasa kutokana na kilimo cha chai kinacholimwa katika…

Mo Dewji aendelea kukimbiza utajiri Afrika Mashariki, yumo 20 bora AFRIKA

Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Jarida la Forbes limemtaja mfanyabiashara Mtanzania, Mohammed Dewji (Mo) kuwa miongoni mwa matajiri vijana zaidi katika kipindi cha miaka 10 mfululizo akishika nafasi ya 12 Afrika mwaka 2024. Tajiri huyo kijana ameajiri zaidi ya…

EWURA CCC yawajengea uwezo wajumbe 150 wa Kamati za Mikoa za watumiaji wa Nishati na Maji

Na Dotto Kwilasa,JamhuriMedia,Morogoro BARAZA la Ushauri la Watumiaji wa huduma za Nishati na Maji nchini (EWURA CCC) kwa uwezeshwaji wa EWURA limefanya mafunzo ya kuwajengea uwezo wajumbe 150 wa Kamati za Watumiaji wa Nishati, Maji na Gesi asilia za Mikoa…

Misri yaipongeza Tanzania kwa kutekeleza mradi wa JNHPP

Waziri wa Nyumba, Nishati na Maendeleo ya Makazi wa Misri, Mhe. Assim Elgazzar ameipongeza Tanzania kwa kutekeleza Mradi wa kuzalisha umeme wa Julius Nyerere (JNHPP) ambao umefikia asilimia 95.83 hadi sasa. Waziri huyo ametoa pongezi hizo tarehe 22 Januari, 2024…

Ivory Coast wakanyagana, mashabiki wavunja vioo vya magari uwanjani

Na Isri Mohamed Michuani ya AFCON inazidi kushangaza wengi kufuatia matokeo mabaya ya timu ambazo kutokana na ubora wa wachezaji wake zilitarajiwa kufanya vizuri ikiwemo Côte d’Ivoire, ambayo usiku wa kuamkia leo imepokea kichapo cha mabao manne kwa nunge kutoka…

Afisa Mhifadhi Kanda ya Kusini awashauri Watanzania kutembelea hifadhi

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Makete AFISA Mhifadhi mkuu wa Kanda ya Kusini Jonathan Kaihura ametoa wito kwa Watanzania kujenga tabia ya kutembelea vivutio mbalimbali vilivyopo katika hifadhi zetu hapa nchini na hasa Hifadhi ya Taifa za Kitulo iliyopo mkoani Njombe…