JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: Habari Mpya

Epukeni matumizi yasiyo sahihi ya P2

Naibu Waziri wa Afya Dkt. Godwin Mollel amewataka wananchi kuepuka matumizi yasiyo sahihi ya vidonge vya kuzuia mimba maarufu kama P2 ili kuepuka madhara yanayoweza kujitokeza pale dawa hizo zinapotumika bila utaratibu ikiwemo mvurugiko wa hedhi. Dkt. Mollel amesema hayo…

PAC yaipongoza e-Ga kwa ubunifu,usanifu na utengenezaji mifumo ya TEHAMA yenye tija

Na Dotto Kwilasa,JamhuriMedia,Dodoma KAMATI ya Bunge ya Kudumu ya Hesabu za Serikali (PAC), imeipongeza Mamlaka ya Serikali Mtandao (e-GA) kwa kuendeleza tafiti na bunifu zinazochagiza usanifu na utengenezaji wa mifumo ya TEHAMA inayoleta tija kwa taifa. Pongezi hizo zimetolewa na…

Lowassa, mwanasiasa aliyekuwa na ndoto ya kuwa Rais Tanzania

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia Edward Lowassa ni Waziri Mkuu wa zamani wa Tanzania aliyehudumu katika nafasi hiyo kati ya Desemba 30, 2005 na Februari 7, 2008 wakati wa uongozi wa awamu ya nne wa Rais Jakaya Mrisho Kikwete. Lowassa alizaliwa…

Dk Mpango atoa maelekezo kwa wizara za ardhi na ulinzi

Na Mwandish Wetu, JamhuriMedia, Arusha Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt Philip Isdori Mpango ameielekeza Wizara ya Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi na ile ya Ulinzi kwenda eneo la Oldonyosambu lilipo wilaya ya Arumeru mkoa…

Rais Mwinyi amlilia Lowassa

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Hussein Ali Mwinyi, amepokea kwa masikitiko makubwa taarifa za kifo cha aliyewahi kuwa Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania mwaka 2005 – 2008 Mhe. Edward Ngoyai Lowassa kilichotokea…

MSD, wadau wa afya Kanda ya Mbeya waweka mikakati ya uboreshaji na upatikanaji bidhaa za afya

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Mbeya BOHARI ya Dawa (MSD) imewatambua na kuwapongeza wadau wake wa Kanda ya Mbeya kwa ushirikiano na umahiri wao katika uboreshaji na upatikanaji wa bidhaa za afya kwenye maeneo yao. Akizungumza katika mkutano huo wa wadau…