JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: Habari Mpya

Mkutano wa mwaka wa Vyombo vya Utangazaji nchini wafanyika Dodoma

Na Dotto Kwilasa,JamhuriMedia,Dodoma SERIKALI kupitia Wizara ya Habari,Mawasiliano na Teknolojia ya Habari ,imevitaka vyombo vya habari kufuatilia kwa umakini mafunzo ya kanuni za uchaguzi katika kuelekea uchaguzi Mkuu wa Serikali za Mitaa kwani vina wajibu wa kutoa taarifa sahihi kwa…

DC Kishapu awashauri viongozi kutumia takwimu za sensa

Na Suzy Butondo,JamhuriMedia, Shinyanga Mkuu wa Wilaya ya Kishapu Joseph Mkude amewashauli viongozi wa sekta mbalimbali katika wilaya ya Kishapu kutumia takwimu za sensa, ili kuleta umakini na ufanisi kwa kuzingatia idadi ya wananchi katika kutatua mipango ya maendeleo na…

Dk Mpango aongoza waombolezaji kuaga mwili wa Hayati Lowassa

Na Magrethy Katengu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Makamu wa Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt Philip Isdor Mpango ameongoza mamia ya watanzani leo Jijini Dar es salaam Viwanja vya Kareemjee katika Maombezo ya kuuga Mwili wa aliyekuwa Waziri…

Waziri wa Ulinzi Marekani akimbizwa ICU

Waziri wa Ulinzi wa Marekani, Lloyd Austin amelezwa katika kitengo cha wagonjwa mahututi mjini Washington kwa matibabu huku ikielezwa kuwa anasumbuliwa na tatizo la kibofu”, maofisa wa Kituo cha Matibabu cha Kijeshi cha Walter Reed walisema. Austin, 70, baadaye alihamishia…

TMDA yapata cheti umahiri katika utendaji

Mwenyekiti wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Afya na masuala ya Ukimwi, Stanslaus Nyongo amesema Mamlaka ya Dawa na Vifaa Tiba (TMDA) imekuwa kitovu cha umahiri katika tathmini na usajili wa dawa barani Afrika na kuwa na maabara inayotumika…

Rais Samia aweka historia, akutana na Papa Francis Vatican

Na Padre Richard A. Mjigwa, C.PP.S., Vatican Uhusiano wa kidiplomasia kati ya Tanzania na Vatican ulianzishwa kunako tarehe 19 Aprili 19, 1968 na Askofu mkuu Pierluigi Sartorelli akateuliwa kuwa ni Balozi wa kwanza wa Vatican nchini Tanzania, utume alioutekeleza hadi…