JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: Habari Mpya

Tutengeneze wasomi wenye akili vumbuzi siyo akili kibarua – Dk Mollel

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dodoma Naibu Waziri wa Afya, Dkt. Godwin Mollel amewataka wasomi nchini kubadili fikra zao kwa kutumia akili vumbuzi na sio akili kibarua ili kulisaidia taifa kusonga mbele kwa maendeleo. Dkt. Mollel amesema hayo leo Jijini Dodoma…

JET yatoa elimu kwa wanahabari juu ya kupambana na uhalifu kwa wanyamapori

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Bagamoyo Chama Cha Waandishi wa Habari za Mazingira Tanzania (JET), kimetoa mafunzo kwa waandishi wa habari 20 kutoka Tanzania Bara na Visiwani juu ya kupambana na uhalifu wa wanyamapori . Mafunzo hayo ni ya siku mbili…

Kwaresma: Ubatizo, Kufunga na Tabia Njema

Na Padri Stefano Kaombe Kati ya vipindi muhimu kabisa vya kiliturujia katika Kanisa nikipindi cha Kwaresma, wengi wetu tuna kumbukumbu nyingi kuhusiana na kipindi hiki, hasa kaidadini ya kupakwa majivu siku ya Jumatano ya Majivu, Njia ya Msalaba kila Ijumaa,…

Tanzania mbioni kutumia teknolojia mpya ya utangazaji

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dodoma Wizara ya Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari ipo katika hatua za mwisho kukamilisha mapitio ya Kanuni za Utangazaji kuruhusu matumizi ya teknolojia mpya ya utangazaji wa redio kidijitali maarufu kama ‘Digital Sound Broadcasting (DSB)’….

Uwekezaji mkubwa uliofanywa na Serikali Bandari ya Mtwara wavunja rekodi

●Serikali yawekeza Bil.157.8/-, Matokeo chanya yaanza kuonekana●Yajivunia kuwa na tozo nafuu kuliko bandari shindani ukanda wa Afrika Mashariki Na Stella Aron, JamhuriMedia, Mtwara BANDARI ya Mtwara ni mojawapo kati ya bandari kuu tatu za mwambao wa bahari zilizopo nchini, zinazosimamiwa…

Mwili wa hayati Lowassa waagwa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT), Ushaurika wa Azania Front Da es Salaam

Katibu Mkuu Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge na Uratibu) Dkt. Jim Yonazi akitoa maelekezo kwa timu ya Itifaki wakati wa maandalizi ya ibada maalum ya Maombolezo na kuaga Mwili wa Waziri Mkuu Mstaafu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania…