JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: Habari Mpya

Watoto 174, 298 walengwa kupata chanjo ya Surua Rubella Pwani – Kunenge

Na Mwamvua Mwinyi, JamhuriMedia, Pwani Mkoa wa Pwani ,unalenga kufikia watoto wenye umri chini ya miaka mitano 174,298 kwa ajili ya kupata chanjo ya Surua – Rubella inayotolewa katika maeneo mbalimbali. Kampeni ya chanjo hiyo tayari imeanza Februari 15 mwaka…

Bil.30 zimeshapelekwa TARURA kutatua kero ya barabara zilizoharibiwa na mvua

OR-TAMISEMI NAIBU Waziri Ofisi ya Rais-TAMISEMI, Deogratius Ndejembi amesema Waziri wa Fedha, Dkt. Mwigulu Nchemba ameshaelekeza Wakala wa Barabara za Vijijini na Mijini (TARURA) kupatiwa Sh. Bilioni 30 ili iweze kutatua changamoto ya barabara kwenye maeneo mbalimbali nchini. Mhe.Ndejembi ametoa…

Madaktari wa upasuaji masikio Hospitali za Rufaa za Mikoa na Kanda wajengewa uwezo Muhimbili

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH) kwa kushirikiana na Chuo Kikuu cha Afya na Sayansi Shirikishi Muhimbili (MUHAS) na Hearwell Audiology Clinic zimeendesuha mafunzo ya siku tatu kwa wataalam kutoka hospitali mbalimbali nchini yenye…