JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: Habari Mpya

Polisi na IHET waja na mifumo kudhibiti shule za udereva zisizokuwa na sifa nchini

Na Abel Paul,Jeshi la Polisi- Arusha Katika kuhakikisha mifumo inaondoa changamoto na malalamiko kwa wananchi hususani katika shule za udereva ambazo hazijasajiliwa, Jeshi la Polisi na Taasisi ya Mitambo Mizito na Teknolojia IHET wamekuja na mfumo uitwao (DSRS) Driving School…

LHRC yaitaka serikali kuchukua hatua kukatika umeme

Na Tatu Mohamed, JamhuriMedia, Dar es Salaam Kituo cha Sheria na Haki za Binadamu (LHRC) kimeitaka serikali kuchukua hatua za haraka kuhakikisha umeme wa uhakika unapatikana ndani ya muda mfupi. Pia kimetoa wito kwa Shirika la Umeme Tanzania (Tanesco) kupanga…

Kiduku: Mwakinyo anataka bilioni tupigane

Na Isri Mohamed, JamhuriMedia, Dar es Salaam Wakati mashabiki na wadau wa mchezo wa ngumi nchini wakiendelea kushinikiza kutaka pambano kati ya mabondia Twaha Kiduku na Hassan Mwakinyo liandaliwe ili kumaliza utata wa nani ni bingwa wa mwenzake, Kiduku ameibuka…

Watano wafariki wakati wakivuka mto Ruvuma

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Tunduru  Watu watano wamefariki dunia na wengine saba wamenusulika kifo baada ya mtumbwi waliokuwa wakisafiria kusombwa na maji katika kivuko cha mto Ruvuma kuelekea nchi jirani ya Msumbiji. Mkuu wa Wilaya ya Tunduru Julius Mtatiro amesema…

Prof. Mdoe apongeza walimu wakuu 369 kupata mafunzo ya uongozi

Na Mwamvua Mwinyi, JamhuriMedia, Pwani Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia Prof. James Mdoe, amefungua mafunzo ya Uongozi, Usimamizi na Uendeshaji wa Shule yanayoendeshwa na ADEM kwa Walimu Wakuu wa Mkoa wa Tanga katika Chuo cha Ualimu…