Category: Habari Mpya
Bodaboda wachoma moto basi la Saibaba
Na Isri Mohamed Basi la Kampuni ya Saibaba Express lililokuwa likitokea Dar es Salaam kuelekea mkoani Arusha limechomwa moto na kundi la bodaboda katika Kata ya Mtonga, Halmashauri ya Wilaya ya Korogwe mkoani Tanga baada ya mwenzao kugongwa na basi…
Pinda amshukuru Rais Samia uwekezaji mkubwa Hospitali ya Mpimbwe
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Mlele Mbunge wa Jimbo la Kavuu na Naibu Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi Geophrey Pinda amemshukuru Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt Samia Suluhu Hassan kutokana na uwekezaji mkubwa unaofanyika…
Tanzania yatoa msimamo wake WTO
Tanzania ikiwa ni mmoja wa waanzilishi wa Shirika la Biashara Dumiani (WTO) inaunga mkono mfumo wa biashara unaotegemea sheria ambazo zinatoa ulinzi na fursa kwa Nchi wanachama wote haswa Nchi zinazoendelea katika kuhakikisha maendeleo endelevu duniani yanapatikana Vilevile, Tanzania inaunga…
Yanga : Hatuendi Misri kununua kanzu, tunataka kuongoza kundi
Na Isri Mohamed Baada ya kumaliza kibarua chao dhidi ya CR Belouizdad kwa kuwapa kichapo cha mabao manne kwa nunge yaliyowafikisha hatua ya robo fainali ya ligi ya mabingwa Afrika, klabu ya Yanga inatarajia kusafiri leo kuelekea nchini Misri kwa…
Serikali kujenga viwanda vya kuchakata samaki Kilwa, Fungurefu
Na Dotto Kwilasa,JamhuriMedia,Dodoma SERIKALI kupitia Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge na Uratibu)imesaini Mkataba wa upembuzi yakinifu wa ununuzi wa meli za uvuvi wa bahari kuu na ujenzi wa viwanda viwili vya kuchakata samaki Kilwa na Fungurefu utakaogharimu jumla ya…
Kamati ya Mawaziri wanne wa kisekta yakoshwa na utatuzi migogoro ya ardhi Ruvuma
Na Albano Midelo, JamhuriMedia, Songea Kamati ya Mawaziri Wanane wa Kisekta inayoongozwa na Mwenyekiti wake Waziri wa Ardhi,Nyumba na Maendeleo ya Makazi Mheshimiwa Jerry Silaa imeupongeza uongozi wa Mkoa wa Ruvuma kwa kufanikiwa kutatua migogoro 15 ya ardhi kwenye vijiji…