JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: Habari Mpya

Waziri Silaa abomoa ghorofa Mbezi Beach

Na Isri Mohamed Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Jerry Silaa amesimamia zoezi la ubomoaji wa ghorofa moja lililopo kwenye eneo la kiwanja no. 424 Mbezi Beach jijini Dar es Salaam. Waziri Silaa amesimamia zoezi hilo kwa lengo…

Saratani ya mapafu ugonjwa uliosababisha kifo cha mzee Mwinyi

Na Mohammed Sharksy,JamhuriMedia -SUZA Saratani ya mapafu ni aina ya saratani ambayo huanza katika sehemu yoyote ya mapafu. Kama inavyojulikana tayari, saratani ni hali ambayo husababisha mgawanyiko wa haraka na usioweza kudhibitiwa wa seli ambayo husababisha ukuaji wa tumors. Kwa…

BRELA, TMDA kuimarisha ushirikiano

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Wakala wa Usajili wa Biashara na Leseni (BRELA) na Mamlaka ya Dawa na Vifaa Tiba (TMDA) leo Februari 29, 2024 wamekutana kwa ajili ya kujadiliana kuhusu mashirikiano baina ya Taasisi hizo mbili ili…

Biteko : Utamaduni na utu wa Mtanzania usidhalilishwe

📌 Awapongeza Wasanii kwa kutopuuza utamaduni wa Mtanzania 📌 Ampongeza Dkt. Samia kwa kuufufua Mfuko wa Utamaduni 📌 Ataka Wasanii kuhamasisha Uchaguzi wa Serikali za Mitaa Na Mwandishinl Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati,…