JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: Habari Mpya

ACT – Wazalendo wazindua sera ya jinsia

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Chama cha ACT Wazalendo kimezindua Sera ya jinsia ikiwa ni mwelekeo na jitihada za chama hicho kuongeza ushiriki wa wanawake katika vyombo vya maamuzi. ACT Wazalendo kimekuwa chama cha kwanza cha siasa kuwa…

‘Marufuku kuondoa wagonjwa NHIF wodini’

Waziri wa Afya, Ummy Mwalimu amepiga marufuku vituo binafsi kuwaondoa wodini wagonjwa ambao ni wanachama wa NHIF, mara baada ya saa 48 kupita tangu kutolewa kwa taarifa ya APHFTA. Amesema kufanya hivyo ni kuvunja sheria ya madaktari, madaktari wa meno…

Wanafunzi 17 wafariki kwa ugonjwa uti wa mgongo Nigeria

Wanafunzi 17 kutoka shule tano katika Jimbo la Yobe, Kaskazini Mashariki mwa Nigeria wamekufa kufuatia mlipuko wa homa ya uti wa mgongo, mamlaka inathibitisha. Miongoni mwa wanafunzi hao, wapo wa shule za msingi na sekondari za bweni, kamishna wa elimu wa…

TEF yamlilia Hayati Rais Mstaafu Ali Hassan Mwinyi

Jukwaa la Wahariri Tanzania (TEF), limepokea kwa masikitiko taarifa ya kifo cha Rais (mstaafu) wa Awamu ya Pili wa Tanzania, Ali Hassan Mwinyi aliyefariki dunia Februari 29, 2024 katika Hospitali ya Mzena, Kijitonyama, jijini Dar es Salaam alikokuwa anapatiwa matibabu….

Mvua zaharibu daraja la Namiungo Tunduru

Na Muhidin Amri, JamhuriMedia, Tunduru Mvua kubwa iliyoambatana na upepo mkali iliyonyesha kwa zaidi ya masaa manne katika kijiji cha Namiungo wilayani Tunduru imeharibu miundombinu ya daraja la mto Namiungo lililopo Barabara kuu ya Tunduru kuelekea mikoa  ya kusini Lindi,Mtwara…