JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: Habari Mpya

Hospitali ya Rufaa Songea ilivyomaliza adha ya wagonjwa kwenda Muhimbili

Na Albano Midelo, JamhuriMedia, Songea SERIKALI ya Awamu ya Sita inayoongozwa na Rais Dkt.Samia Suluhu Hassan kupitia Wizara ya Afya imetenga zaidi ya shilingi bilioni 6.57 kutekeleza mradi wa hospitali ya Rufaa ya Mkoa,Songea. Fedha hizo ni kwa ajili ya…

Serikali yaiomba FAO kuunga mkono mipango ya kupambana na athari za mabadiliko tabianchi

Na Mwandishi Maalum, JamhuriMedia WAZIRI wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira), Dkt. Selemani Jafo ameliomba Shirika la Chakula na Kilimo Duniani (FAO) kuendelea Kuunga mkono mipango ya Serikali ya Tanzania katika usimamizi wa mazingira na kupambana…

CBE yapongezwa kwa ubunifu wa kozi

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Serikali imeiagiza wenye maabasi nchini kuhakikisha madereva na wahudumu wao wote wa usafiri wa umma nchini wanapata  mafunzo ya namna ya kutoa huduma ya kwanza ndani ya kipindi cha miaka mitatu. Imesema mafunzo…

Mkurugenzi NHIF atembelea hospitali ya Regency, huduma zarejea kama kawa Regency

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Ujumbe wa Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya, (NHIF) umetembelea hospitali ya Regency ya Upanga jinjini Dar es Salaam na kuzungumza na uongozi ambapo wamekubaliana hospitali hiyo kuendelea kutoa huduma wakati masuala…