JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: Habari Mpya

Bashungwa amsimamisha kazi meneja TANROADS Lindi

…….…………………….. Waziri wa Ujenzi, Innocent Bashungwa amemsimamisha kazi Meneja wa TANROADS Mkoa wa Lindi, Eng. Andrea Kasamwa kwa kushindwa kusimamia urejeshwaji wa miundombinu ya barabara na madaraja katika Wilaya ya Liwale Mkoani Lindi na kupelekea barabara kuu zinanounganisha wilaya hiyo…

Esther Matiko : Nitagombea ubunge Jimbo la Tarime Mjini 2025, bado sijamaliza kutatua kero

Na Helena Magabe JamhuriMedia, Tarime Mbunge wa Viti Maalumu kupitia chama cha Demokrasia na na (CHADEMA), Esther Matiko amesema atagombea ubunge wa Jimbo la Tarime Mjini 2025 kwa uwezo wa Mwenyezi Mungu baada ya kupokea maoni kutoka kwa watu mbalimbali…

Wanawake Tume ya Madini walipa bili za wagonjwa wenye uhitaji Hospitali ya Rufaa Dodoma

Na Dotto Kwilasa, JamhuriMedia, Dodoma KUELEKEA Siku ya Wanawake Duniani wanawake kutoka Tume ya Madini wamefanya ziara katika Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Dodoma na kulipia gharama za matibabu kwa wagonjwa wenye uhitaji maalum ikiwemo vifaa tiba, dawa, operesheni…

Wanawake Ofisi ya Taifa ya Mashtaka waanza kuenzi siku ya wanawake kwa kuwafariji wagonjwa

Na Dotto Kwilasa, JamhuriMedia, Dodoma OFISI ya Taifa ya Mashtaka imetoa msaada wa fedha kwa ajili ya matibabu kwa wagonjwa walilazwa kwa muda mrefu kwenye hospitali ya rufaani ya mkoa wa Dodoma ikiwa ni hatua ya kuenzi siku ya wanawake…

Serikali yakabidhi boti mbili ziwa victoria

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Mwanza Serikali kupitia Wizara ya Mifugo na Uvuvi imekabidhiwa boti mbili kutoka Taasisi ya Uvuvi ya Ziwa Victoria (LVFO) ya Jumuiya ya Afrika Mashariki kwa ajili ya kufanya doria na kudhibiti uvuvi haramu ndani ya Ziwa…

Mgaya mkuu mpya NIT

Rais Samia Suluhu Hassan amemteua Mhandisi Dk Prosper Mgaya kuwa Mkuu wa Chuo cha Taifa cha Usafirishaji (NIT). Kabla ya uteuzi huo Mgaya alikua Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi Stadi (VETA). Taarifa ya Mkurugenzi wa…