JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: Habari Mpya

Viwanja 10,000 kupimwa awamu ya pili kwa wanaohamia kutoka Ngorongoro

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Msomera Jumla ya viwanja 10,000 vinatarajiwa kupangwa na kupimwa katika sehemu ya eneo lililokuwa Pori Tengefu la Handeni awamu ya pili kwa ajili ya wakazi wanaohamia kutoka hifadhi ya Ngorongoro. Hayo yamebainishwa tarehe 7 Machi 2024…

Mfanyabiashara ajiua kwa risasi Urambo

Na Allan Vicent, JamhuriMedia, Tabora Mfanyabiashara maafuru Wilayani Urambo Mkoani Tabora Ramadhani Ntunzwe (53) amejiua kwa  kujipiga risasi kichwani akiwa nyumbani kwake . Kamanda wa Polisi Mkoani hapa SACP Richard Abwao amethibitisha kutokea tukio hilo Machi 6 mwaka huu majira ya…

Dk Mpango afungua mkutano wa 21 wa Taasisi za Fedha Arusha

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Philip Mpango ametoa wito kwa washiriki wa Mkutano wa 21 wa Taasisi za Fedha kutafakari kwa kina changamoto ya uhaba wa fedha za kigeni na hatua gani za muda…

DC Katavi atoa siku saba kwa aliyehamisha mto kuurejesha

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Katavi Mkuu wa Wilaya ya Mpanda Mkoa wa Katavi, Jamila Yusuf ametoa siku saba kwa mwekezaji wa machimbo ya madini aina ya dhahabu , Anseimo Mjinga, aliyehamisha mto uliopo Kijiji cha Mtisi Kata ya Sitalike kusimamisha…

Wanawake MSD walipa gharama za upasuaji kwa watoto wenye vichwa vikubwa Muhimbili

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Naibu Mkurugenzi Mtendaji Hospitali ya Taifa Muhimbili-Mloganzila Dkt. Julieth Magandi amewashukuru watumishi wanawake wa Bohari ya Dawa (MSD) kwa msaada wa kulipia sehemu ya gharama za matibabu kwa watoto wenye matatizo ya vichwa vikubwa na mgongo…

Wadanganyifu wote wa NHIF wamechukuliwa hatua

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Meneja wa Kitengo cha Kupambana na Udanganyifu kutoka NHIF Bi. Rose Ntundu ametoa ufafanuzi dhidi ya taarifa za upotoshaji zinazosambazwa mtandaoni kuhusu watumishi 148 wa NHIF kuhusika kwenye vitendo vya udanganyifu. Ntundu amesema…