JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: Habari Mpya

Watumishi wanawake TUICO waadhimisha Siku ya Wanawake kwa kutoa misaada

Na Mwandishi wetu, JamhuriMedia, Dar wa Salaam WATUMISHI wanawake kutoka Chama Cha Qafanyakazi (TUICO) wameugana na wenzao nchini kuadhimisha siku ya kimataifa ya wanawake duniani kwa kutoa msaada wa vitu mbalimbali katika kituo cha kulelea watoto yatima cha Dunia Heri…

Rais Samia mbeba ajenda ya nishati safi ya kupikia

Na Dotto Kwilasa, JamhuriMedia,Dodoma RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dk. Samia Suluhu Hassan amewaahidi watanzania kuibeba ajenda ya nishati safi ya kupikia kwa kutafuta fedha zaidi kukuza nishati ili kuitunza misitu na kuhifadhi mazingira . Dk. Samia amezungumza…

Wadau waitaka sheria afya ya uzazi

Na Irene Mark, JamhuriMedia, Dar es Salaam WAKATI duani ikiadhimisha Siku ya Wanawake, Tanzania imetakiwa kutengeneza sheria itakayompa mwanamke nguvu ya kuamua kuhusu masuala ya afya ya uzazi. Hali ilivyo sasa, inaelezwa kwamba nusu ya wanawake hapa nchini, hawafanyi uamuzi…

Serikali Pwani yakemea uchomaji misitu kiholela

Na Mwamvua Mwinyi, JamhuriMedia, Pwani SERIKALI mkoani Pwani, imekemea tabia ya uchomaji moto misitu ,unaofanywa kwenye baadhi ya maeneo ,kwani kwa kufanya hivyo ni kusababisha uharibifu mkubwa wa mazingira. Mkoa huo ni miongoni mwa mikoa inayoshamiri kwa changamoto ya uharibifu…

Katibu Mkuu Nishati afanya kikao na wawakilishi kutoka Energy Cards

๐Ÿ“Œ Inajishughulisha na kutoa ushauri Sekta ya Nishati Katibu Mkuu wa Wizara ya Nishati, Mhandisi Felchesmi Mramba amekutana na Wataalam kutoka Taasisi ya Energy CARDS ambao walifika ofisini kwake kwa ajili ya kutambulisha shughuli wanazozifanya. Katika kikao kilichofanyika tarehe 7…

Matumizi ya nishati safi ya kupikia yameanza rasmi – Dk Biteko

๐Ÿ“Œ Agawa mitungi ya Gesi na Majiko Banifu kwa Wajasiriamali Dar es Salaam ๐Ÿ“Œ Ataka taasisi kuachana matumizi ya kuni na mkaa ๐Ÿ“Œ Ahimiza wadau kuunga mkono juhudi za Serikali ๐Ÿ“Œ Baadhi ya Wajasiriamali wafunguka Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar…