JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: Habari Mpya

CBE waja na kozi ya uchunguzi wa rushwa

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Morogoro MKUU wa Wilaya ya Morogoro, Rebecca Nsemwa, amekipongeza Chuo cha Elimu ya Biashara (CBE) kwa kuanzisha kozi ya uchunguzi wa masuala ya  ufisadi na  kupambana na rushwa. Amesema kozi hiyo itasiadia kwa kiwango kikubwa nchi…

Rais Samia aboresha huduma za afya Manispaa Tabora

Na Allan Kitwe, JamhuriMedia, Tabora HALMASHAURI ya Manispaa Tabora imepokea zaidi ya bil 1.3/ kutoka Serikali Kuu kwa ajili ya kuboresha upatikanaji huduma za afya kwa wananchi katika zahanati na vituo vyote vya kutolea huduma za afya. Hayo yamebainishwa jana…

Mgomo wa daladala Mwanza waathiri wananchi

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Mwanza Madereva wa usafiri wa umma, maarufu ‘daladala’ wamegoma mkoani Mwanza, huku taarifa za awali zikieleza sababu ni kushinikiza kuondolewa kwa muingiliano wao (daladala) na pikipiki za miguu mitatu, maarufu ‘bajaji’, katika vituo vya kupakia abiria….

Ajali yaua tisa Bagamoyo

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Pwani Watu tisa wamefariki dunia na wengine watatu kujeruhiwa baada ya gari walilokuwa wakisafiria kugongana uso kwa uso na lori la mizigo, wilayani Bagamoyo, mkoani Pwani. Kamanda wa Polisi Mkoa wa Pwani, Pius Lutumo amesema ajali…

Dk Biteko : Rais Samia hataki misukosuko kwa wafanyabiashara

📌 Ataka Watendaji Warasimu wajionee aibu;watimize wajibu 📌 Watumishi wakumbushwa shughuli za Serikali kufanyika Dodoma Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dodoma Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko amesema kuwa, Rais, Dkt. Samia Suluhu Hassan amejipambanua kama…

Wakulima wa viungo Kizerui, Antakae walilia sheria ya usimamizi wa mazao hayo

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Tanga WAKULIMA wanaozalisha mazao ya viungo kwa mfumo wa kilimo hai katika vijiji vya Kizerui na Antakae wilayani Muheza mkoani Tanga wameiomba Serikali kutengezeza sheria za kusimamia mazao hayo ili kuweza kuyalinda na kuyaongezea thamani. Ombi…