JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: Habari Mpya

Ugonjwa figo washika nafasi ya nane duniani kusababisha vifo

Na Mwandishi Wetu,JamhuriMedia, Dar es Salaam Inakadiriwa kuwa watu milioni 850 duniani wanasumbuliwa na magonjwa sugu ya figo na kati yao watu milioni 3.1 hufariki dunia kila mwaka na kuufanya ugonjwa huo kushika nafasi ya nane ulimwenguni kwa kusababisha vifo….

Hospitali zote za rufaa za mikoa zitumie mifumo ya TEHAMA

Na. WAF – Mwanza Waziri wa Afya Ummy Mwalimu amezitaka Hospitali zote za Rufaa za Mikoa nchini kuanza kutumia mifumo ya TEHAMA ili kuboresha utoaji wa huduma za Afya kwa wananchi. Waziri Ummy amesema hayo leo Machi 14, 2024 wakati…

Makinda awataka waandishi wa habari kuyatumia matokeo ya Sensa kusaidia uboreshaji huduma

Na Tatu Mohamed, JamhuriMedia, Dar es Salaam Kamisaa wa Sensa ya Watu na Makazi ya Mwaka 2022, Anne Makinda amewataka waandishi wa habari kutumia matokeo ya sensa kuandika habari zitakazosaidia katika uboreshaji wa huduma mbalimbali za jamii. Amebainisha hayo jijini…

Madereva wa mabasi yaendayo mikoani wapata huduma ya upimaji macho

Na Mwamvua Mwinyi, JamhuriaMedia, Mbezi Hii ni wiki ya maadhimisho ya Ugonjwa wa Shinikizo la macho au Presha ya Macho duniani ambapo hospitali ya CCBRT,kwa kushirikiana na hospitali ya Barrack PolisI Kilwa Road na halmashauri ya Manispaa ya Ubungo, wameadhimisha…

Kamati ya Bunge yaridhishwa na maboresho kiwanda cha KMTC Moshi

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Viwanda, Biashara, Kilimo, Mifugo na Uvuvi imelipongeza Shirika la Taifa la Maendeleo (NDC) kwa kuboresha Kiwanda cha KMTC na kuendelea na uzalishaji wa vipuri pamoja na mashine…

TEHAMA yaanda kongamano litakalo wakutanisha watu 300 Arusha

Na Jumanne Magazi, JamhuriMedia, Dar ea Salaam Tume ya Habari na Mawasiliano nchini (TEHAMA), imeendaa jukwaa la tatu la usalama wa mitandao ya kielekitroniki la mwaka 2024 litakalofanyika kuanzia April 4 hadi 5 mwaka huu jijini Arusha ambapo washiriki 300…