JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: Habari Mpya

Viwanda vya kuongeza thamani madini na bidhaa za migodini kujengwa Kahama

Ni mwitikio wa maono ya Rais Dkt. Samia Suluhu juu ya uongezaji thamani madini Eneo la Mgodi wa Buzwagi unaofungwa sasa kujengwa zaidi ya viwanda 100 Buzwagi kuwa kitovu cha uzalishaji na usambazaji wa bidhaa za migodini kwa nchi Afrika…

Wagombea 127 wa udiwani kutoka vyama 18 kupigiwa kura kesho

Na Mwandishi wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Wagombea udiwani 127 kutoka vyama 18 vya siasa wanatarajiwa kupigiwa Kura katika Uchaguzi Mdogo wa Udiwani katika kata 22 za Tanzania Bara unaotarajiwa kufanyika kesho tarehe 20 Machi, 2024. Hayo yamesemwa na Mwenyekiti…

Wananchi Ruvuma wamshukuru rais kwa ujenzi wa bandari ya Ndumbi

Na Albano Midelo, JamhuriMedia, Mbambabay WANANCHI wa Wilaya ya Nyasa mkoani Ruvuma wamemshukuru Rais Dkt.Samia Suluhu Hassan kwa kutenga fedha kiasi cha shilingi bilioni 12.2 kwa ajili ya ujenzi wa bandari mpya ya Ndumbi ziwa Nyasa. Mbunge wa Jimbo la…

TAFICO yapongezwa jitihada za kuinua uchumi wa bluu

Na Magrethy Katengu, Jamhuriamedia, Dar es Salaam Kamati ya kudumu ya Bunge ya Viwanda, Biashara,Kilimo na Mifugo imelipongeza Shirika la Uvuvi Tanzania (TAFICO) kwa jitihada wanazozifanya za ukarabti wa miundombinu ili kusaidia kuinua uchumi wa bluu kupitia sekta ya uvuvi….

Huu hapa mkakati wa kudumu Serengeti

*Wadau wa uhifadhi, maendeleo kuibadili Mugumu kuwa ‘Serengeti Smart City’ *Iwapo Dodoma itaidhinisha mpango huu, Senapa itabaki kileleni daima Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Mara Kwa miaka mitatu mfululizo, Hifadhi ya Taifa ya Serengeti (Senapa) imetajwa kuwa miongoni mwa sehemu bora…

Mchengerwa atoa miezi saba kwa DART kumpata mwekezaji binafsi

OR-TAMISEMI Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI), Mohammed Mchengerwa ameielekeza Wakala wa Mabasi yaendayo haraka (DART) kufikia mwezi Oktoba 2024 iwe imempata mwekezaji binafsi ambaye ni mtoa huduma wa mabasi hayo ili…