JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: Habari Mpya

Jela miaka 25 kwa kukutwa na kilo 107, 29 za bangi

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Morogoro Mahakama Kuu ya Tanzania, Kanda ya Morogoro imemuhukumu John Mwasikili kutumikia kifungo cha miaka 25 gerezani baada ya kutiwa hatiani kwa kosa la kusafirisha dawa za kulevya aina ya bangi zenye ujazo wa kilo 107.29….

Polisi waendelea kuwabana wanaovunja sheria, wananchi waomba operesheni 3D iendele

Na Abel Paul, Jeshi la Polisi-Arusha Jeshi la Polisi kikosi cha Usalama Barabarani Kimeendelea na operesheni ya kutoa elimu na kuwakamata wale wote wanaoendelea kuvunja sheria za usalama Barabarani huku Jeshi hilo likiwapongeza wale wote waliotii agizo la Serikali la…

Watumishi Ofisi ya Waziri Mkuu watakiwa kutekeleza majukumu yao kwa ubunifu

Na Mwandishi wetu, JamhuriMedia,Dodoma Waziri Wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera ,Bunge na Uratibu), Jenista Mhagama ametoa wito kwa Baraza la Wafanyakaziwa Ofisi hiyo,kupitia taarifa ya utekelezaji wa bajeti ya mwaka 2023/24 na makadirio ya bajeti ya mwaka 2024/25…

Mhandisi Sanga :Msifanyie ‘lamination’ hati za ardhi

Na Munir Shemweta, JamhuriMerdia, Chalinze Katibu Mkuu wa Wizara ya Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi Mhandisi Anthony Sanga amesema Hati miliki za Ardhi zinazotolewa kwa wamiliki wa ardhi nchini haziruhusiwi kuwekewa ‘’Lamination’’. Mhandisi Sanga ametoa kauli hiyo tarehe 18 Machi…

Sh trilioni 6 zaboresha sekta ya afya

Waziri wa Afya ,Ummy Mwalimu amesema serikali ya awamu ya sita imetoa kiasi cha Sh trilioni 6.722 ndani ya miaka mitatu ili kuboresha sekta ya afya hivyo sekta ya afya inakwenda mbele na namba inawabeba. Mambo makubwa 11 katika kipindi…

Rufaa ya mbunge Gekul kusikilizwa Machi 21

Na Isri Mohamed Mahakama kuu Kanda ya Manyara, imepanga kusikiliza rufaa ya tuhuma zinazomkabili Mbunge wa Babati mjini Paulina Gekul, za kumshambulia Hashimu Ally, Machi 21,2024, Chini ya jaji wa mahakama hiyo Devotha Kamzora. Jaji wa Mahakama kuu Kanda ya…