JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: Habari Mpya

Jela miaka 30 kwa kumdaganya mwanafunzi kuwa atamuoa

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Songwe Mahakama ya Wilaya ya Momba mkoani Songwe imemhukumu mshtakiwa Stanford Theobert (19), Mkulima, mkazi wa Maporomoko, Tunduma kutumikia adhabu ya kifungo cha miaka 30 jela kwa kosa la kubaka. Mtuhumiwa huyo alikamatwa Januari 23, 2023…

Pwani yapunguza makosa ya uhalifu kwa asilimia 23.4

Na Mwamvua Mwinyi, JamhuriMedia, Pwani JESHI la Polisi mkoani Pwani, limepunguza uhalifu kwa makosa 259 sawa na asilimia 23.4 ukilinganishwa na mwaka 2020 ambapo kulikuwa na makosa 1,104 dhidi ya makosa 845 ya mwaka 2023. Aidha mkoa huo ,umefanikiwa kukamata…

Ujerumani yatoa euro milion 70 kusaidia miradi ya maendeleo Tanzania

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia,Dar ea Salaam Tanzania na Ujerumani zimesaini makubaliano ya ahadi (commitment) ya msaada wa kiasi cha euro milioni 70 (sawa na shilingi bilioni 193.71) kwa ajili ya utekelezaji wa miradi mbalimbali ya maendeleo nchini Tanzania, ikiwemo Sekta…

Kampuni 180 za Tanzania, China kushiriki kongamano la uwekezaji Machi 27

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Katika kile kinachothibitisha kuwa uongozi wa Rais Samia Suluhu Hassan umefungua fursa za kiuchumi Machi 27, 2024 kampuni 180 za China na Tanzania zinatarajiwa kufanya kongamano la uwekezaji na biashara hapa nchini. Kongamano…

Kamati yapitisha makadirio ya Bajeti kwa DCEA , Ofisi ya Msajili wa Vyama vya Siasa

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dodoma Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Utawala, Katiba na Sheria imepitisha Makadirio ya Mapato na Matumizi kwa mwaka wa fedha 2024/25 ya Mamlaka ya Kudhibiti na Kupambana na Dawa za Kulevya na Ofisi ya Msajili…

TMX yapaisha mapato Kagera

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Kagera Mfumo wa Unununuzi wa Mazao kwa njia ya Mtandao unaoedeshwa na Soko la Bidhaa Tanzania (TMX), umeongeza ushuru wa mapato mkoani Kagera kwa zaidi ya asilimia 200. Kwa misimu miwili Serikali kupitia Soko la Bidhaa…