JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: Habari Mpya

NIDA yatengeneza vitambulisho vya taifa Njombe kwa asilimia 95

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Njombe Jumla ya vitambulisho vya Taifa 369,002 vimezalishwa katika mkoa wa Njombe na kufikia zaidi ya asilimia 95 kati ya vitambulisho 397,143 ambavyo wananchi walijiandikisha na tayari vimeshaanza kusambazwa kwenye ofisi za maofisa watendaji wa kata….

Dk Mwinyi azindua vitalu vya uwekezaji mafuta na gesi asilia

Na Fauzia Mussa, Maelezo Zanzibar. Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapuinduzi Dkt. Hussein Ali Mwinyi amesema  Serikali inatoa fursa  kwa wawekezaji katika sekta ya Mafuta na Gesi Asilia  ili kuweza kutekeleza  shughuli hizo. Akizindua duru ya kwanza…

Mgombea udiwani kwa tiketi ya CCM Kata ya Bukundi aibuka kidedea

Msimamizi wa Uchaguzi Jimbo la Meatu Mkoa wa Simiyu Bw. Athumani Masasi amemtangaza Bw. Yunusi Kilo Ally wa CCM kuwa mshindi wa Udiwani katika Uchaguzi Mdogo wa Udiwani Kata ya  Bukundi kwa kupata kura 2,182 na kumshinda Bw. Joseph Masibuka…

Treni binafsi za mizigo kuanza TAZARA

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Shirika la Reli la Tanzania na Zambia (TAZARA) limesaini mkataba na sekta binafsi ya kuleta treni ambazo zitabeba mizigo kutoka bandarini na kupeleka nchi jirani. Mkataba huo umesainiwa Machi 20, 2024 Makao Makuu…

CCM yashinda udiwani Kigoma Ujiji

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Kigoma CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) kimeshinda kiti cha udiwani katika Kata ya Kasingirima Manispaa ya Kigoma Ujiji, baada ya mgombea wa chama hicho Mlekwa Mfamao Kigeni kuibuka mshindi kwenye uchaguzi mdogo wa udiwani kwenye kata hiyo…

Halmashauri zatakiwa kurejesha fedha za mikopo ya KKK kupitia vyanzo vingine

Na Munir Shemweta, JamhuriMedia, Shinyanga Naibu Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi Mhe, Geophrey Pinda ameziagiza halmashauri zote nchini zilizokopeshwa fedha kwa ajili ya programu ya kupanga, kupima na kumilikisha ardhi (KKK) kutafuta vyanzo vingine vya fedha kwa…