JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: Habari Mpya

Bashungwa : Wahandisi washauri wababaishaji wachukuliwe hatua kali za kisheria

Na Mwamvua Mwinyi, Pwani Waziri wa Ujenzi, Innocent Bashungwa ameagiza kuchukuliwa hatua kali za kisheria kwa wahandisi washauri wababaishaji ambao wameshindwa kusimamia miradi ya ujenzi wa barabara na kupelekea kuharibika kabla ya wakati. Ameeleza, wahandisi hao wamekuwa wakiisababishia hasara kubwa…

Mabula: Mkataba hautaongezwa ujenzi soko la Tarime

Na Helena Magabe Jamhuri media Tarime Makamu Mwenyekiti wa Kamati ya kudumu ya Bunge ya hesabu za Serikali za mitaa (LAAC), Stanslaus Mabula ameagiza Halmashauri kusimamia mradi wa soko na itakapofika Mei 17,2024 ujenzi uwe umeisha. Ameiomba Halmashauri hiyo kuipatia…

Majaliwa azitaka halmashauri kuweka mpango wa ufuatiliaji na tathmini ya matumizi ya ardhi

Na Mwandishi Wetu, JakhuriMedia, Lindi WAZIRI Mkuu Kassim Majaliwa amezielekeza Halmashauri zote zinazotekeleza mradi wa Mpango wa Matumizi ya Ardhi ya Vijiji kuandaa mpango wa ufuatiliaji na tathmini ili kupima ufanisi wa utekelezaji wa mradi huo. Ametoa maelekezo hayo leo…

Mbaroni kwa kumuua mkewe na kumzika chumbani

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Morogoro Jeshi la Polisi mkoani Morogoro  linamshikilia mtu mmoja aliyejulikana kwa jina la  Mohamedi Omari, mkazi wa kijiji cha Kimamba A, wilayani  Kilosa  kwa tuhuma za  kumuua mkewe  na kumzika ndani ya chumba wanacholala. Tukio hilo la…

Walioleta mtandao wa Starlink wakamatwa

Na Tatu Mohamed, JamhuriMedia, Dar es Salaam WATU wawili wanashikiliwa na Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam kwa tuhuma za kuingiza vifaa vya mawasiliano ya intaneti nchini bila kufuata utaratibu wa kisheria vyenye jina la STARLINK KIT/DEVICE….

Dk Biteko aagiza Wizara ya Maji kuhakikisha wananchi wanapata maji sagi ma salama

📌 Asisitiza Wananchi kutoa maoni utunzaji wa mazingira katika Dira 2050 📌 Ataka Bodi za Mabonde ya Maji/NEMC kudhibiti uchafuzi wa mazingira 📌 Uvunaji wa Maji ya Mvua wasisitizwa ngazi ya Kaya, Taasisi hadi Taifa 📌 Amtaja Rais Dkt. Samia…