JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: Habari Mpya

Serikali ya Awamu ya Sita yaendelea kufanya vizuri ukusanyaji mapato

Na Lilian Lundo – Maelezo Mkurugenzi wa Idara ya Habari (Maelezo) na Msemaji Mkuu wa Serikali, Bw. Mobhare Matinyi, amesema Serikali ya Awamu ya Sita inayoongozwa na Mhe. Rais, Dkt. Samia Suluhu Hassan imeendelea kufanya vizuri katika ukusanyaji wa mapato…

Waongoza utalii wachachamaa, watoa saba, wamuomba Rais Samia aingilie kati

  Waongoza utalii Mkoa wa Arusha,wametoa siku saba kwa rais Samia Suluhu Hassan kuingilia kati na kuzipatia ufumbuzi changamoto zinazowakabili ili kufikia malengo ya Serikali iliyojiwekea katika sekta ya utalii. Akiongea  kwenye mkutano wa pamoja uliokutanisha vyama mbalimbali vya waongoza…

TPA yatoa ufafanuzi ajira DP World

Mamlaka ya Usimamizi wa Bandari nchini (TPA) imesema kuwa imewapa watumishi wake nafasi ya kuchagua ama kubaki TPA au kusitisha mkataba wa ajira na TPA na kuajiriwa na Kampuni ya DP World ya Dubai. TPA imesema hayo katika taarifa yake…

ACT Wazalendo wataka mabadiliko ya sheria vyombo vya haki jinai

Chama cha ACT Wazalendo kimeitaka Serikali kupeleka bungeni muswada wa marekebisho ya katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ili kuvifanyia mageuzi makubwa vyombo vya haki jinai na mfumo wa uchaguzi kwa ujumla wake. Akizungumza leo katika makao makuu ya…

Mradi kuwawezesha wanawake sekta uvuvi Afrika Mashariki wazinduliwa

Na Edward Kondela, JamhuriMedia, Dar es Salaam Mradi wa kuwawezesha wanawake katika mnyororo wa thamani wa mazao ya uvuvi kwa nchi za Afrika Mashariki kupitia Ziwa Victoria umezinduliwa ili kumuwezesha mwanamke kuongeza kipato kupita kupitia mazao hayo. Akizungumza jijini Dar…

Benki Kuu kukabiliana na upungufu wa fedha za kigeni

Benki Kuu ya Tanzania imeendelea kushiriki kikamilifu katika Soko la Jumla la Fedha za Kigeni, kwa kuuza dola ya Marekani kwa benki za biashara ikiwa ni sehemu ya juhudi zinazoendelea za kupunguza uhaba wa fedha za kigeni nchini. Kwa mujibu…