JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: Habari Mpya

Serikali yazindua Mpango Mkakati wa wadau wa elimu mkoa wa Dodoma

Na Dotto Kwilasa, JamhuriMedia,Dodoma WAZIRI Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,Kassim Majaliwa amezindua Mpango mkakati wa wadau wa elimu mkoa wa Dodoma huku akitoa maagizo mbalimbali ikiwemo kuwataka Wakuu wa Wilaya nchini kuhakikisha wanawafuatilia Wanafunzi ambao hawajaripoti Shuleni kwa…

TRA yatoa elimu ya mlipa kodi kwa waendesha bajaji, bodaboda

Na Tatu Mohamed, JamhuriMedia, Dar es Salaam Serikali imesema kuwa itaendelea kujenga mahusiano mazuri na waendesha bajaji na pikipiki maarufu kama bodaboda pamoja na kushiriana nao kwani kazi hiyo ni kama kazi zingine. Hayo yameelezwa leo Machi 25, 2024 na…

Watumishi wawili Jiji la Mbeya wahukumiwa kwa kuomba na kupokea rushwa 75,000/-

Mahakama ya Hakimu Mkazi Mbeya imewahukumu Bw. Nelson Mwakilasa ambaye ni msaidizi wa Mkuu wa Masoko na Felister Mwanisongole ambaye ni askari mgambo, wote hao wakiwa ni watumishi wa Halmashauri ya Jiji la Mbeya. Watumishi hao wameamuriwa kulipa faini ya…

Mudathir Yahya akabidhiwa masandawana

Na isri Mohamed Afisa Habari wa klabu ya Yanga, Ali Kamwe amemtangaza Kiungo wao Mudathir Yahya kuwa ndiye nyota wa mchezo wao dhidi ya Mamelod Sundowns utakaochezwa Jumamosi ya Machi 30, katika dimba la Mkapa. Kamwe amesema kutokana na kiwango…

Shaka atoa siku tano kupata majibu ujenzi ICU chini ya kiwango

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Kilosa Mkuu wa Wilaya ya Kilosa Mkoani Morogoro, Shaka Hamdu Shaka, ameagiza kufanyika kwa uchunguzi wa mradi wa ujenzi wa Jengo la Wagonjwa Mahututi (ICU) katika hospitali ya wilaya hiyo lililogharimu Sh. milioni 278 ambalo ujenzi…