JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: Habari Mpya

Tanzania yatekeleza ahadi ya Beijing

Na Salma Lusangi, JamhuriMedia, New York Licha ya changamoto za kiuchumi Duniani, Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania imeweza kutekeleza hatua mbali mbali zilizolengwa ili kupunguza athari kwa wanawake, na kuimarisha dhamira ya Utekelezaji wa Jukwaa la Beijing na…

Miaka mitatu ya Rais Samia, TRC yajivunia mafanikio makubwa

Na Jumanne Magazi,JamhuriMedia, Dar es Salaam Mtendaji Mkuu wa Shirika la Reli Tanzania (TRC), Masanja Kadogosa, amesema shirika limepata mafanikio makubwa kiutendaji ndani ya miaka mitatu ya uongozi wa Rais DKt Samia Suluhu Hassan tokea aingie madarakani. Akizungumza na wahariri…

Mmoja afariki kwa mafuriko, wengine waokolewa Ifakara

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Kilombero Mtu mmoja amefariki na wengine kuokolewa baada ya mvua kubwa kunyesha wilayani Kilombero. Akizungumza Mkuu wa Wilaya ya Kilombero, mkoani Morogoro, Dunstan Kyobya amethibitisha kutokea kwa kifo cha mtu mmoja baada kutumbukia kwenye kina kirefu…

Dk Biteko aagiza mpango mkakati kuimarisha huduma afya ya msingi

📌Asisitiza kutoa elimu ya afya kwa jamii 📌Aupongeza Mfumo wa M-mama uliobuniwa na Watanzania 📌Jumla ya vituo 2,799 vimejengwa na vingine kufanyiwa ukarabati kuanzia mwaka 2017 hadi 2024 Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko ameagiza…

Tanzania yapandishwa uwezo wake wa kukopa kimataifa

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia,Dar es Salaam Tanzania imepandishwa kwenye orodha ya kimataifa ya viwango vya nchi vya kukopa kutokana na kuimarika kwa uchumi wake ndani ya uongozi wa Rais Samia Suluhu Hassan. Hii ni kwa mujibu wa shirika la kimataifa…