JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: Habari Mpya

Watendaji kata, mitaa, maendeleo ya jamii wanolewa Kibaha

Na Byarugaba Innocent, JamhuriMedia, Kibaha Mwenyekiti wa Halmashauri ya Mji Kibaha Mheshiniwa Mussa Ndomba amefungua Kikaokazi cha siku moja kilichowakutanisha Watendaji Kata,Mitaa,Wataalam wa Kilimo,Mifugo na Maafisa Maendeleo ya Jamii kilichofanyika jana Machi 28,2024 kwenye ukumbi wa Halmashauri kikiangazia utoaji wa…

Mufti Sheikh Zubeir kuzindua kitabu chake cha maadili mfungo Mosi

Na Mwamvua Mwinyi, JamhuriMedia, Pwani Mufti wa Tanzania, Sheikh Abubakar Zubeir, anatarajia kuzindua rasmi kitabu chake ambacho kinahusu masuala mazima ya maadili, kitabia ndani ya jamii hususan kwa kundi la vijana, ifikapo mfungo Mosi. Aidha amewaasa watanzania kujenga tabia ya…

Mbunge Rweikiza awahakikishia wananchi kupata maji, ampa tano rais Samia

Na Bwanku M Bwanku, JamhuriMedia, Kagera Mbunge wa Jimbo la Bukoba Vijijini lililopo mkoani Kagera amewahakikishia wananchi wa kata ya Kemondo kwamba ndani ya mwezi mmoja ujao mradi wa maji Kemondo utakua umeanza kutoa maji na wananchi watapata huduma hiyo…

PURA yapongezwa usimamizi wa miradi ya CSR

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Lindi DIWANI wa Kata ya Songo Songo, Mkoani Lindi, Hassan Swalehe Yusuph ameipongeza Mamlaka ya Udhibiti Mkondo wa Juu wa Petroli (PURA) kwa usimamizi bora wa Miradi ya Uwajibikaji kwa Jamii (CSR) iliyofanywa na kampuni zinazozalisha…

Polisi yajipanga kulinda usalama Sikuku ya Pasaka, viwanja vya michezo

Na Mwandishi wetu, JakhuriMedia, Dar es Salaam Ikiwa imesalia siku kadhaa kuelekea sikukuu ya Pasaka ambayo itaanza maadhimisho yake siku ya Ijumaa Kuu Machi 29, 2024 na baadae kufuatiwa na mkesha sikukuu yenyewe wananchi wameombwa kutoa taarifa za viashiria au…