JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: Habari Mpya

Waziri Mchengerwa : Ma -RC, DC kikaangoni, mikopo ya vikundi

Na Projestus Binamungu, JamhuriMedia, Pwani WAZIRI wa Nchi, Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa, Mohamed Mchengerwa amesema kiongozi yeyote katika mamlaka za serikali za mitaa atakayebainika kuunda kikundi hewa kwa lengo la kujifaidisha na fedha za…

TARURA yadhamiria kuimarisha mtandao wa barabara kwa asilimia 85

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Morogoro Wakala ya Barabara za Vijijini na Mijini (TARURA) ina lengo la kuhakikisha barabara zote nchini zinapitika kwa asilimia 85 ili kuinua uchumi na kuwezesha huduma za kijamii kwa wananchi ifikapo mwaka 2025/2026. Hayo yamesemwa na…

Biteko : Watendajji wazembe TANESCO kuanza kuchukuliwa hatua kila mwezi

WATENDAJI WAZEMBE TANESCO KUANZA KUCHUKULIWA HATUA KILA MWEZI – DKT. BITEKO 📌Asisitiza Kituo cha Huduma kwa Wateja kuongeza ufanisi 📌Tathmini kufanyika kwa Mkataba wa Mtoa Huduma kwa wateja TANESCO 📌 Mameneja wa Mkoa TANESCO kupimwa kwa matokeo 📌TANESCO yatakiwa kujenga…

Biteko achokozwa tena, wezi nguzo za umeme wakamatwa, vigogo wawalindwa

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dodoma MWENYEKITI wa Kijiji cha Chikola Kata ya Mpwayungu Emanueli Mazengo, Machi 30, mwaka huu, saa saba usiku, aliwakamata wezi waliokata nguzo ya umeme wa masafa marefu kwa msumeno na kuisafirisha kwa Trekta Na T 870…

Ajeruhiwa kwa mapanga akidaiwa kuwa ni Popobawa Kisarawe

Na Mwamvua Mwinyi, JamhuriMedia, Kisarawe Mkazi wa kijiji cha Vikumburu Wilayani Kisarawe ,mkoani Pwani, Daud Juma, amejeruhiwa na mapanga katika sehemu mbalimbali za tumbo lake na kikundi cha vijana walioambatana na Mwenyekiti wa kijiji hicho Ramadhan Chaka wakidai anaingilia wanawake…

Mgonjwa aliyepandikizwa figo ya nguruwe atoka hospitali

Mwanaume wa kwanza kupandikizwa figo iliyobadilishwa vinasaba kutoka kwa nguruwe ameruhusiwa kutoka hospitalini. Mtu huyo mwenye umri wa miaka 62 aliruhusiwa kwenda nyumbani, wiki mbili baada ya upasuaji wa dharura katika Hospitali Kuu ya Massachusetts (MGH). Upandikizaji wa viungo kutoka…