JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: Habari Mpya

Serikaki kuongeza vituo vinne vinavyotoa mionzi kwa wagonjwa saratani

Na WAF – Dodoma Serikali kupitia Wizara ya Afya inaendelea na taratibu za uwekezaji kwa kuongeza vituo vingine 4 kwa kujenga majengo na kuviwezesha vifaa vitakavyotumika kutibu wagonjwa wa Saratani kwa njia ya mionzi. Waziri Ummy amesema hayo leo Aprili…

Serikali imepiga hatua kiuchumi,kidemokrasia na utawala bora

Waziri wa Fedha, Mhe. Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba (Mb) akizungumza wakati wa Mkutano wake na Ujumbe kutoka Shirika la Marekani la Changamoto za Milenia (Millennium Challenge Corporation-MCC), ulioongozwa na Bw. Nilan Fernando, jijini Dodoma, ambapo walijadiliana maeneo mbalimbali ya ushirikiano…

Benki Kuu yatangaza kupanda kwa riba mpya kutoka asilimia 5.5 hadi 6

Na Jumanne Magazi, JamhuriMedia, Dar es Saalam Benki Kuu ya Tanzania (BOT), kupitia kamati ya Sera ya Fedha (MPC) imetangaza kupanda kwa Riba mpya ya Benki Kuu yaani (Central Bank Rate-CBR) kutoka asilimia 5.5 iliyotumika katika robo ya kwanza ya…

Wajasiliamali wadogo wazalishe bidhaa zenye ubora kuendana na ushindani soko la ndani na nje : Mchatta

Na Mwamvua Mwinyi, JamhuriMedia, Pwani KATIBU Tawala Mkoani Pwani Rashidi Mchatta ,ametoa rai kwa wajasiriamali wadogo kuzingatia uzalishaji wa bidhaa kitaalam na zenye ubora ili kukuza biashara zao na kuinua uchumi wa mkoa huo. Mchatta ameyasema hayo wakati akikabidhi vyeti…

Benki ya NMB yafuturisha wabunge na watoto wenye mahitaji maalum Dodoma

Tunapoendelea na mwezi Mtukufu wa Ramadhani, Benki ya NMB imepata nafasi ya kujumuika na wabunge wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania pamoja na watoto wenye mahitaji maalum Dodoma kupata futari ya pamoja. Mgeni Rasmi katika hafla hii alikua…

DCEA yakamata dawa mpya za kulevya

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Mamlaka ya Kudhibiti na Kupambana na Dawa za Kulevya(DCEA), imekamata kilogramu 4.623 za aina mpya ya dawa za kulevya inayoitwa methylene dioxy pyrovalerone (MDPV), iliyokamatwa Dar es Salaam ikisafirishwa na raia wa Comoro…