Category: Habari Mpya
Makamu wa Rais ashiriki kumbukizi ya hayati Abeid Aman Karume
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Philip Mpango akiweka shada la maua katika kaburi la aliyekuwa Rais wa Kwanza wa Zanzibar Hayati Sheikh Abeid Amani Karume katika kumbukizi ya miaka 52 ya kifo chake tarehe…
Watuhumiwa 514 wakamatwa wakitorosha mifugo kwenda nchi jirani
Jeshi la Polisi kikosi cha kuzuia wizi wa mifugo kwa kushirikiana na wananchi limefanikiwa kuwakamata watuhumiwa wawili wakitorosha mifugo 514 kwenda nchi jirani huku wakitumia vibali vya kampuni isiyohusika na mifugo hiyo. Akitoa taarifa hiyo kamanda wa Polisi Kikosi cha…
Timu ya madaktari bingwa watua Katavi
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMeda, Katavi Timu ya madaktari bingwa wabobezi wa upasuaji kutoka nchini Marekani imewasili mkoani Katavi kwa lengo la kutoa huduma za upasuaji bure kwa wagonjwa wanaotakiwa kufanyiwa upasuaji wa magonjwa mbalimbali. Timu hiyo ya wataalamu 18 wakiwemo…
Dk. Rweikiza atoa futari kwa misikiti 113 Wilaya ya Bukoba Vijijini
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Bukoba MBUNGE wa Jimbo la Bukoba Vijijini (CCM), Dk. Jasson Rweikiza, ametoa chakula kwaajili ya fukari kwa waumini wa dini ya kiislamu kwa Misikiti 113 iliyoko Wilaya ya Bukoba Mkoa wa Kagera. Chakula hicho kilikabidhiwa mwishoni…
Bwawa la Kufua Umeme la Julius Nyerere limepunguza athari za mafuriko Rufiji
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Pwani Mkuu wa Wilaya ya Rufiji Meja Edward Gowelle amesema kuwa mradi wa kufua umeme wa bwawa la Julius Nyerere (JNHPP) umepunguza kwa kiasi kikubwa mafuriko na athari zake yaliyokuwa yakitokea katika wilaya hiyo. Meja Gowelle…
Dk Nchimbi aweka msimamo diplomasia ya uchumi na siasa kunufaisha Tanzania
Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Balozi Dk. Emmanuel John Nchimbi amesema CCM, chini ya uongozi wa Mwenyekiti wake, Ndugu Dk. Samia Suluhu Hassan, itaendelea kutoa uongozi na kusimamia ili kuhakikisha diplomasia ya uchumi na siasa inaendelea kuiwezesha Tanzania…