JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: Gazeti Letu

Mo awaumbua watekaji

Tukio la kutekwa kwa mfanyabiashara maarufu nchini na tajiri kijana barani Afrika, Mohamed Dewji, maarufu kama Mo, limewaumbua watekaji, haijapata kutokea. Wakati wakidhani Mo hakuwa na mlinzi, na baada ya kuvua saa na kuacha simu katika eneo la Colosseum Hotel,…

Mwalimu Nyerere alivyoenziwa

Kumbukizi ya miaka 19 tangu Baba wa Taifa, Mwalimu Julius Kambarage Nyerere, afariki dunia imemalizika huku wananchi wengi wakitaka kiongozi huyo aenziwe kwa vitendo. Wananchi walioshiriki mijadala kwenye mitandao ya kijamii, redio, televisheni, magazeti na makongamano wameipongeza Serikali ya Awamu…

Polisi aiba bandarini

*CCTV Camera alizofunga Injinia Kakoko zamuumbua *Tukio lake lazua tafrani kubwa, IGP Sirro alishuhudia *Bandari sasa kama Ulaya, imefungwa kamera 486 *Polisi wafanya mbinu kumtetea mwenzao, wagonga mwamba Na Waandishi Wetu, Dar es Salaam Mfumo mpya wa ulinzi aliouanzisha katika…

Wizi wa kutisha

Mtandao wa utapeli unaowahusisha wafanyabiashara na watendaji wakuu wa baadhi ya taasisi za serikali umebainika kuwapo kwenye biashara ya usafirishaji wa magari nje ya nchi (IT). Uchunguzi uliofanywa na JAMHURI kwa miezi mitatu umebaini mtandao huo unaowahusisha baadhi ya watendaji…

Hatari mpya

*Wataalamu waonya usafiri Ziwa Victoria si salama *Wahoji nchi ilivyojiandaa kukabili majanga mapya *Wengi wakumbuka yaliyotokea kwa MV Bukoba *Waziri Mkuu aeleza ya moyoni, kivuko kuvutwa Na Mwandishi Wetu, Ukara Wahandisi na wataalamu wa majanga wamesema Tanzania inakabiliwa na hatari…

Jela si mchezo

DAR ES SALAAM NA WAANDISHI WETU Kishindo kikubwa kinatarajiwa kuanza kusikika wiki hii baada ya mabadiliko ya uongozi katika Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU). Mtikisiko huo, pamoja na mambo mengine, utawahusisha baadhi ya vigogo wanaotuhumiwa kujihusisha na…